JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Afrika inaelekea kutawala uchumi Afrika (1)

 

Nawasalimu wasomaji wote, ninawapongeza na kuwashukuru wote ambao wamekuwa wakiwasiliana nami. Mbarikiwe. Itakumbukwa kuwa huko nyuma nimepata kuandika makala iliyokuwa na kichwa, ‘Naiona Afrika ikiinuka tena’.

 

Tulichojifunza kutoka ziara ya Obama

Rais Barack Obama wa Marekani aliingia Tanzania Jumatatu Julai 1, mwaka huu, akaondoka Jumanne Julai 2. Mambo mengi yalitokea wakati wa ziara yake. Mengine ni mazuri tuyaendeleze, mengine ni mabaya tujisahihishe. Yote hayo ni mafunzo tuliyopata kutoka ziara ya rais huyu wa Marekani mwenye asili ya Afrika.

Mkutano Mkuu Simba kuamua hatima ya Rage

Mkutano Mkuu wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam unaotarajiwa kufanyika Julai 15, mwaka huu, jijini ndiyo utakaoamua iwapo Mwenyekiti wa timu hiyo, Ismael Aden Rage, ataendelea kushika wadhifa huo au la.

MISITU & MAZINGIRA

Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (4)

Toleo lililopita, Dk. Kilahama alieleza umuhimu wa viongozi wa vijiji na jamii kuhakikisha wanapata manufaa kutokana na misitu, hasa ya asili. Akasisitiza umuhimu wa uongozi bora na imara katika vijiji na vikundi vya kijamii. Endelea.

Kumbe ndiyo maana Marekani inachukiwa!

Umasikini ni kitu kibaya mno. Haya ndiyo yaliyonijia kichwani kabla na wakati wote ziara ya Rais Barack Obama wa Marekani.

Barua ya wazi kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo

Madudu, kero Hospitali ya Bagamoyo

Hivi karibuini nilikwenda kumjulia hali jamaa yangu aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo. Niliyoyaona yanashangaza sana kwa kuzingatia kuwa huko ni nyumbani kwa Mheshimiwa Rais wetu, Jakaya Mrisho Kikwete. Katika mantiki ya kawaida, kihuduma Bagamoyo ingekuwa ya kupigiwa mfano.