Category: MCHANGANYIKO
KAULI ZA WASOMAJI
Biashara vyuma chakavu imulikwe
Niliandika barua kwa Katibu Mkuu wa CCM kwamba biashara ya chuma chakavu inafanyika bila leseni, inakwepa kodi, inahujumu miundombinu, inahodhiwa na wageni, inatakatisha fedha chafu, lakini hatua hazijachukuliwa. Ninazidi kuomba chama tawala kitupie jicho kero hii. Haki na amani ni mapacha, na tanzania ni yetu sote.
H.Q. Batamuzi
0782 828 856
Ikulu inahangaika na neno SIRI, wezi wanashangilia!
Wiki iliyopita nimepata msukosuko. Haukuishia kwangu tu, bali hata wafanyakazi wenzangu – Edmund Mihale na Manyerere Jackton – nao yamewakuta sawa na yaliyonikuta mimi. Jumatano ya Julai 17, 2013 nilipokea simu ya wito kutoka Polisi Makao Makuu, Dar es Salaam.
Muziki wa kizazi kipya na ubunifu hafifu
Sanaa ya muziki nchini Tanzania inakuwa siku hadi siku. Kuna viashiria fulani ambavyo kwa namna moja ama nyingine, vinaonesha ukuaji wa sanaa hii ambayo mojawapo ya kazi zake ni kuburudisha na kuelimisha.
Mikataba siri ya mafanikio Rwanda
Wakati maelfu ya wanafunzi Tanzania katika shule za msingi nchini wanakosa madawati na vitabu, nchini Rwanda nusu ya wanafunzi wanamiliki kompyuta mpakato.
Ajira ya vijana Chadema ni ‘ukomandoo’
Tangu nchi yetu iliporuhusu tena mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, imeendelea kushuhudia mengi – mazuri na mabaya. Ninamuomba Mungu aendelee kutuepusha na hayo mabaya.
Viwanda vyayumbisha korosho Mtwara
Viwanda 12 vya kubangua korosho nchini vilivyobinafsishwa na Serikali chini ya Rais Benjamin Mkapa hivi sasa vimegeuzwa maghala ya kuhifadhi mazao.