JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mchapishaji vitabu adaiwa kumdhulumu Halimoja

 

Mmiliki wa kampuni ya Educational Books Publishers ya jijini Dar es Salaam, anadaiwa kumdhulumu mwandishi mahiri na mkongwe wa vitabu nchini, Mzee Yusuf Halimoja. Taarifa zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kwamba mwaka 2010 mchapishaji huyo wa vitabu na Mzee Halimoja walikubaliana kwamba mwandishi huyo aandike vitabu vya kiada vya masomo ya uraia na historia vya darasa la saba.

Tiketi milioni moja zauzwa Kombe la Dunia

Shirikisho la Soka duninai (FIFA) limethibitisha kuwa zaidi ya tiketi milioni moja za Kombe la Dunia zimeombwa na mashabiki kupitia mtandao wake katika kipindi cha saa saba pekee tangu zianze kuuzwa.

Chelsea yaipokonya tonge mdomoni Spurs

 

Hatimaye Klabu ya Soka ya Chelsea ya Uingereza  imekubali kulipa kiasi cha pauni millioni 30 sawa na bilioni 75 za kitanzania, kumsajiliwa kiungo mchezaji Willian Borges da Silva,  kutoka klabu ya Urussi Anzhi Makhachkala.

Amogolas afurahia maisha mapya

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hamis Kiyumbi ‘Amogolas’ ambaye kwa sasa ameachana na bendi yake ya zamani ya African Stars Twanga Pepeta, amesema anafurahia maisha ya kuanza kufanya muziki wa kujitegemea.

Mshiriki Big Brother akiri kubwia ‘unga’

Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika mashindano ya Big Brother Afrika mwaka huu, Huddah Monroe, amekanusha tuhuma dhidi yake kwamba ana Virusi vya Ukimwi kutokana na mwili wake kupungua kupita kiasi.

‘Unga’ unavyowatafuna wasanii wetu

Hali inaonesha kwamba wasanii wa Tanzania wamekuwa wadau wakubwa katika mzunguko wa biashara ya dawa za kulevya.