JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Uhamiaji yamrejesha kwao wakala wa Kaseja

 

Ni yule wa FC Lupopo ya Kongo

Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imemrejesha rasmi, Ismail Baduka, ambaye alikuwa wakala wa golikipa namba moja wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Juma Kaseja, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ile ya kuishi nchini na kuendesha shughuli zake bila ya kuwa na kibali maalum.

Ngara walitabiri Rwanda kuisambaratisha EAC

 

 

Wahenga walisema asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Kwa Bukoba nilikotokea wanasema ‘akagunjua kalafa tikaulila nzamba’ (ka-mnyama ka-kufa huwa hakasikii baragumu). Baragumu ni njia ya mawasiliano iliyokuwa ikitumiwa tangu enzi. Hata wauza samaki kwa Bukoba huwa wanatumia baragumu (olukuri) wanapotembeza (wanapouza) samaki.

 

Kocha wa Nigeria matatani

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limethibitisha kupokea malalamiko kutoka kwa Shirikisho la mchezo huo nchini Malawi (FAM), kuhusu matamshi yaliyotolewa na Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi, yanayohusishwa na ubaguzi wa rangi.

Yah: Kazi kwanza, siasa ni kilimo si maneno

Mwaka 1974 katika rekodi ya vijiji bora Tanzania kwa kilimo, ufugaji  na maendeleo ambavyo Julius alivipatia zawadi, ni pamoja na Kijiji cha Lwanzali kilichopo mkoani Njombe. Kijiji hiki kilipewa tangi kubwa la maji tena la chuma na mabomba yake ili kuunganisha maji kwa kila mwanakijiji.

Umri wa Ekelege wa ‘TBS’ utata mtupu

Umri wa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) aliyesimamishwa, Charles Ekelege umezua utata kutokana na yeye mwenyewe kujaza taarifa zinazoonesha miaka tofauti ya kuzaliwa kwake.

Konyagi isihujumiwe Kenya, Serengeti vipi?

Mpendwa msomaji, leo kwa mara ya kwanza nadhani katika safu hii kupitia gazeti JAMHURI, nalazimika kuandika masuala yanayohusiana na kinywaji. Nimelazimika kuandika suala hili, baada ya kuona kadhia ya kodi inayoendelea hapa nchini. Serikali imekoma kufikiri na sasa imeamua kutengeneza kitanzi cha kunyonga biashara hapa nchini.