JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mr. Nice kujipanga upya

Soko la muziki wa Tanzania linakua siku hadi siku. Dalili za kukua kwa muziki zinadhihirishwa na ongezeko la wasanii wanaoibuka mara kwa mara. Hali hii imewafanya wasanii wakongwe na waliopata kuwika katika muziki kwa kiasi kikubwa, kufikiria kujipanga upya ili kuendana na soko la kisasa.

Shambulio la Westgate kuahirisha magongo

Mashindano ya magongo kwa mataifa ya Afrika yaliyopangwa kuanza Alhamisi wiki hii mjini Nairobi, huenda yakaahirishwa kutokana na mkasa wa shambulio la jengo la kitegauchumi la Westgate lililovamiwa na magaidi wa Al Shabaab.

Usahihi kuhusu Shelutete

Katika toleo lililopita la Septemba 24-30, 2013 kwenye ukurasa huu, kulikuwa na barua iliyoeleza ufisadi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.

 

TEODENSIA MBUNDA

Mwanamke pekee msaidizi wa waziri

Ni asubuhi na mapema siku ya Jumatano napata wazo la kuonana na Msaidizi wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Teodensia Mbunda.

Simba, Sunderland zafunga ‘ndoa’ ya mashaka

Hivi karibuni Tanzania itaanza kufaidika na ushirikiano wa kimichezo na utalii na Klabu ya Sunderland, inayoshiriki Ligi Kuu ya England. Hatua hii inafuata baada ya uongozi wa timu hiyo kutua nchini hivi karibuni na kukutana na uongozi wa Serikali kupitia Bodi ya Utalii nchini.

Mayweather avuna Sh bilioni 67 kwa dakika 36

Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather (36) atalipwa dola milioni 41.5 za Marekani (Sh bilioni 67.23), baada ya kumshinda Saul ‘Canelo’ Alvarez (23). Hili ni pambano la 45 kwa Mayweather akiwa ameshinda yote.