JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala

Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!

Mungu awe nayi wana JAMHURI

Nawapongeza kwa ujasiri mlioamua kuuvaa katika harakati bila shaka ni lengo lenu ni kuona Mtanzania ananufaika na maliasiri tulizojliwa na Mungu.

Chonde chonje wavuta sigara

Mhariri,

Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.

KAULI ZA WASOMAJI

Itakuaje magaidi wakituingilia?

Habari sahihi zina nguvu kuliko bunduki

 

Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa kwenye harakati za kuhakikisha nchi yetu inatambua uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa mawazo. Harakati hizi zimenifikisha hatua ya kufahamu kwa kina umuhimu wa habari na hasa habari sahihi.

 Udhibiti maegesho holela Temeke, changamoto zake

Jiji la Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayoongoza kwa idadi kubwa ya wakazi hapa nchini. Hali hiyo inasababishwa na ongezeko la watu wanaoingia jijini kila kukicha, wakitokea mikoa mingine katika harakati za kutafuta maisha bora, ambayo wengi wao wanaamini kuwa yanaweza kupatikana Dar es Salaam.