Category: MCHANGANYIKO
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Habari sahihi zina nguvu kuliko bunduki
Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa kwenye harakati za kuhakikisha nchi yetu inatambua uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa mawazo. Harakati hizi zimenifikisha hatua ya kufahamu kwa kina umuhimu wa habari na hasa habari sahihi.
Udhibiti maegesho holela Temeke, changamoto zake
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayoongoza kwa idadi kubwa ya wakazi hapa nchini. Hali hiyo inasababishwa na ongezeko la watu wanaoingia jijini kila kukicha, wakitokea mikoa mingine katika harakati za kutafuta maisha bora, ambayo wengi wao wanaamini kuwa yanaweza kupatikana Dar es Salaam.
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Habari mpya
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
- Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
- Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioni 35 wanatumia mtandao wa intanenti
- Uvimbe uliomtesa kwa miaka 10 watolewa na mabingwa wa Rais Samia
- TASAC yakabidhiwa boti na Ofisi ya Waziri Mkuu kuimarisha ulinzi wa bahari
- TAEC kuwa mlezi wa programu maalum ya diploma masomo ya teknolojia ya nyuklia
- Lukuvi : Rais Samia hana deni huduma ya maji Ubungo
- Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
- Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
- Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
- Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido