JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Tabora jitokezeni uboreshaji daftari’

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa wito kwa wananchi na wapiga kura wa mkoa wa Tabora kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika kwenye mikoa hiyo kuanzia…

Dk Mpango aipongeza Wizara ya Nishati kwa usimamizi mzuri wa miradi ya nishati

📌 Ampongeza Dkt. Biteko kwa kuiongoza vyema Wizara na TANESCO kwa utekelezaji wa miradi 📌 Akagua vituo vya kupoza umeme Nguruka na Kidahwe 📌 Aagiza ifikapo Septemba Kigoma iwe imeingia kwenye Gridi ya Taifa 📌 Kapinga asema Wizara haitakuwa kikwazo…

Sasatel, Hydrox kufilisiwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imetangaza kufilisi kampuni za DOVETEL (T) Limited maarufu kama Sasatel na Hydrox Industrial Serivices Limited baada ya kujiridhisha kuwa kampuni hizo mbili kushindwa kujiendesha na kulipa…

Miaka 85 ya TAG kuambatana na tamasha la mlipuko wa furaha Dar es Salaam

Na Magrethy Katengu, Jamuhuri mediaDar es Salaam Kanisa la Assembles of God(TAG) kwa kushirikiana na SOS Adventure wanatarajia kubadilisha wale wote waliofungwa na kamba za shetani kwa kutoa mahubiri, kufanya maombi kwa Mungu ili wawekwe huru katika Kristo Yesu. Akizungumza…

JKCI yaanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo Namtumbo

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Madaktari Bingwa kutoka Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI ), imeanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma. Akizindua huduma hizo…