Category: MCHANGANYIKO
Tanzania kushiriki Reggae Ethiopia
Bendi ya muziki wa Reggae ya mjini Arusha ya ‘The Warriors From the East’ inarajia kushiriki katika tamasha maalum la Muziki wa Reggae, litakalofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu.
Tathmini Ligi Kuu Tanzania Bara
Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom soka Tanzania Bara ulifikia tamati Alhamisi ya wiki iliyopita. Hatua hiyo inatoa nafasi kwa wachezaji na makocha wao kupata mapumziko mafupi, kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 25 mwakani.
Meya Mwanza, madiwani wapimana ubavu
- Mabishano, matusi vyakwamisha kikao
- Polisi washindwa, Meya atumia mabaunsa
Ni dhahiri kuwa sasa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza hapakaliki. Mgogoro baina ya Meya Henry Matata na madiwani watatu aliowafukuza, unazidi kufukuta na kuhatarisha maendeleo ya wananchi.
Mwigamba ni bomu linalosubiri wakati
Mwaka 2008 nilisoma makala aliyoandika Samson Mwigamba. Nilipoisoma makala hayo nilibaini kuwa Mwigamba ni bomu linalosubiri wakati, lakini watu waliokuwa wamepofushwa na mapenzi dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliishangilia makala ile.
Toure atajwa tuzo za FIFA
Mchezaji wa kiungo wa kati wa Manchester City, Yaya Toure, ni kati ya wachezaji 23 waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora zaidi kwa mwaka huu wa tuzo za Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Wanariadha Kenya kuchunguzwa
Kenya imekosolewa na Shirika la Kudhibiti matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli kwa kukosa kufanya uchunguzi katika ongezeko la visa vya wakimbiaji wa Kenya wanaoshukiwa kutumia dawa hizo.