JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dunia inalilia mawazo sahihi ya Mandela

Usiku wa Desemba 5, 2013 dunia ilipata habari mbaya. Nasema ilipata habari mbaya ambazo kimsingi zilitarajiwa, ndiyo maana sikutumia neno mshituko. Mzee wetu Nelson Madiba Mandela aliaga dunia.

KAULI ZA WASOMAJI

JAMHURI linatufaa kuhusu JWTZ   Hakika ni ukweli usiopingika kuwa habari zinazochapishwa kwenye Gazeti Jamhuri kuhusu vikosi vya askari wetu wa JWTZ wanaolinda amani nchini Congo zimekonga mioyo yetu na zimetuongezea shauku ya kulipenda jeshi letu, hasa sisi tuliopo mpakani…

Nazuiwa kumwona Jaji Mkuu Tanzania

Mhariri,

Nimekuwa nikifuatilia haki yangu katika mahakama kwa miaka 14 sasa bila mafanikio. Kwamba nimekuwa nikifanya jitihada za kuomba kukutana na Mheshimiwa Jaji Mkuu, lakini hadi sasa sijafanikiwa kutokana na kunyimwa nafasi hiyo na watumishi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.

Serikali itutatulie uhaba wa maji Komuge, Rorya

Mhariri,

Ninaona fahari kutumia nafasi hii katika Gazeti Jamhuri kuifikishia Serikali kilio cha wananchi katika kata ya Komuge, Wilaya ya Rorya mkoani Mara, ambao kwa muda mrefu sasa wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji.

Yah: Mwakyembe, ATC ya Boeing iko wapi?

Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa Watanzania wote kutokana na kifo cha Baba wa Taifa la Afrika Kusini, Nelson Madiba Mandela.

EFD kuongeza mapato ya Serikali – 2

 

 

Katia toleo liloyopita mwandishi wa makala haya alizungumzia mambo mbalimbali yanayohusu ubora, nia na malengo ya Serikali kutumia mashine za kutolea stakabadhi za malipo. Leo anazungumzia matumizi na nani anayeruhusiwa kutengeneza na kusambaza, na nani anayetakiwa  kutumia mashine hizo. Endelea…