JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chama cha waandishi wa habari Pwani, chawashika mkono Shalom

CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoa wa Pwani (PWMO), kimetoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu (Shalom) kilichopo Msangani, Halmashauri ya Mji Kibaha. Misaada hiyo ni pamoja na mchele, unga, sukari, mafuta…

‘Legezeni gharama wananchi wapikie umeme’

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) sanjari na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kulegeza bei ya umeme, ili mwananchi asiogope kupikia umeme badala ya nishati nyingine. Akiwa katika ziara yake kutembelea…

TALIRI yaja na ufumbuzi malisho kwa wafugaji

TASISI ya Utafiti wa Mifugo Tanzania ( TALIRI), imesema ili kufuga kisasa, inahitajika malisho ya kutosheleza kwa mwaka mzima. Mtafiti Mwandamizi kutoka Taliri, Walter Mangesho amesema hayo kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu…

ETDCO yajipanga kukamilisha miradi yake, yakaribisha wadau

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Huduma za Ufundi kutoka Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), Dismas Massawe amejipanga kuhakikisha miradi wanayoitekeleza inakamilika kwa wakati. Akizungumza katika banda la…

TMDA yawataka wananchi kuacha kutumia dawa kiholela

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo, ametoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi ya dawa na kuacha kutumia kiholela na badala yake wafuate ushauri wa daktari. Ametoa wito…

Mhandishi Mramba aipongeza EWURA kwa kazi nzuri wanayoifanya

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati (EWURA) kwa huduma nzuri ambayo wamekuwa wakiifanya. Aidha Mhandisi Mramba amesema kuwa Wizara hiyo itaendelea kuisaidia…