JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Manyoni yajipanga utatuzi changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ni miongoni mwa Halmashauri za Wilaya 91 nchini zinazokabiliwa na migongano kati ya binadamu na wanyamapori wakali na waharibifu, ambapo imekuwa ikipata madhara mbalimbali ikiwemo uharibifu wa mashamba hekari mia mbili themanini katika vijiji kumi…

NIRC yakabidhi mradi wa umwagiliaji wa zaidi ya bilioni 5/- kwa mkandarasi Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imemkabidhi mkandarasi kazi ya ujenzi mradi wa umwagiliaji katika Kijiji cha Itipingi mkoani Njombe ambao utagharimu zaidi ya shingi bilioni 5.2. Mradi huo awali ulijengwa kwa gharama ya shilingi…

DCP Ng’anzi : Ipo siku ile ndoto ya Tanzania bila ajali kwa mwaka inawezekama

Na Jeshi la Polisi , JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Tanzania DCP. Ramadhani Ng’anzi amesema tatizo la ajali za barabarani bado ni kubwa hivyo Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani linafanya kila jitihada…

Wananchi wafurahia huduma za Mama Samia Legal Aid Campaign Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wanaojitokeza katika banda la Mama Samia Legal Aid Campaign katika maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaama (DITF), kupata msaada wa kisheria wamefurahia huduma hiyo huku wakieleza itasaidia kukuza…

Watoto 300 wafaidika na matibabu ya moyo kupitia CRDB Marathon

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela akikabidhi bendera za nchi za Tanzania, Burundi na Congo kuashiria uzinduzi wa mbio za CRDB msimu wa tano zitakazofanyika katika nchi hizo mwezi wa nane mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya…

Dk Mpango aitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kuharakisha upatikanaji vitambulisho vya Taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema tayari maelekezo yametolewa kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhakikisha inaharakisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa ili kuondoa adha wanayopitia wananchi wa Kigoma na…