JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi wafurahia huduma za Mama Samia Legal Aid Campaign Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wanaojitokeza katika banda la Mama Samia Legal Aid Campaign katika maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaama (DITF), kupata msaada wa kisheria wamefurahia huduma hiyo huku wakieleza itasaidia kukuza…

Watoto 300 wafaidika na matibabu ya moyo kupitia CRDB Marathon

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela akikabidhi bendera za nchi za Tanzania, Burundi na Congo kuashiria uzinduzi wa mbio za CRDB msimu wa tano zitakazofanyika katika nchi hizo mwezi wa nane mwaka huu kwaajili ya kuchangia matibabu ya…

Dk Mpango aitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kuharakisha upatikanaji vitambulisho vya Taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema tayari maelekezo yametolewa kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhakikisha inaharakisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa ili kuondoa adha wanayopitia wananchi wa Kigoma na…

Chama cha waandishi wa habari Pwani, chawashika mkono Shalom

CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoa wa Pwani (PWMO), kimetoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu (Shalom) kilichopo Msangani, Halmashauri ya Mji Kibaha. Misaada hiyo ni pamoja na mchele, unga, sukari, mafuta…

‘Legezeni gharama wananchi wapikie umeme’

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) sanjari na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kulegeza bei ya umeme, ili mwananchi asiogope kupikia umeme badala ya nishati nyingine. Akiwa katika ziara yake kutembelea…

TALIRI yaja na ufumbuzi malisho kwa wafugaji

TASISI ya Utafiti wa Mifugo Tanzania ( TALIRI), imesema ili kufuga kisasa, inahitajika malisho ya kutosheleza kwa mwaka mzima. Mtafiti Mwandamizi kutoka Taliri, Walter Mangesho amesema hayo kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu…