Category: MCHANGANYIKO
NIT yawataka vijana kuchangamkia fursa masomo ya kimkakati
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo cha Taifa Usafirishaji (NIT), kimetoa wito kwa vijana waliohitimu kidato cha nne kuchangamkia fursa ya kuomba kujiunga kozi za kimkakati za Chuo ambazo katika mwaka wa masomo wa 2024/2025 zimepata upendeleo wa…
Wakala wa Forodha mbaroni kwa tuhuma kumuua rafiki yake na kumwibia milioni 61/-
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia Dar es Salaam Mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la Mussa Khamis Bakari maarufu ‘buda ‘ (30) , Wakala wa Forodha, mkazi wa Temeke anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Abdallah Twahir Selemani…
Pinda amrejeshea nyumba bibi aliyoihangaikia kwa zaidi ya miaka 10 Kigoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amemrejeshea nyumba Leticia Benedict Choma mwenye umri wa zaidi ya miaka 80 mkazi wa Kigoma Ujiji baada ya kuihangaikia kwa zaidi ya miaka 10…
UDOM yawakaribisha wadau kushirikiana kutengeneza tiba lishe
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Profesa Lughano Kusiluka, ametoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana na chuo hicho ili kuweza kutengeneza tiba lishe zitakazosaidia kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Aidha Profesa Kusiluka…
Dkt. Mpango asisitiza elimu kuepuka maradhi
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesisitiza umuhimu wa wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii kuwasaidia wananchi kwa kutoa elimu kuepukana na maradhi mbalimbali. Ametoa wito huo mara baada ya kutembelea Zahanati ya Kijiji cha Kasumo akiwa wilayani Buhigwe mkoani…
Bandari bubu zatajwa mihadarati kuingia Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar imesema uchunguzi wao umeonesha dawa nyingi za kulevya zinazoingizwa visiwani humo zinatoka Tanzania Bara kupitia bandari bubu. Kamishna Mkuu wa mamlaka hiyo, Burhani Zuberi Nassor amesema hayo jana…