JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Utatu wa Maliasili’ ni wa ulaji

Watanzania tuna ugonjwa mmoja mbaya sana. Ugonjwa wa kutokuhoji lolote. Hatuna utamaduni wa kuhoji vitendo na kauli tata za viongozi na watawala wetu. Tumeridhika kuwa liwe liwalo; au yote maisha.

Kutokana na hali hiyo hatuna na hatuoni sababu za kuwawajibisha viongozi waongo, wazushi, matapeli na mafisadi. Matokeo yake viongozi na watawala hawa wamekuwa wakitumia udhaifu wetu wa kutokuhoji kufanya watakavyo.

Tanzania ijitoe Jumuiya ya Afrika Mashariki?

Bila shaka sisi sote tunajua kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ni Umoja wa Nchi za Afrika Mashariki unaojumuisha nchi tano za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Tanzania.

Watu husema ‘umoja ni nguvu’ kwa kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ni umoja, basi watu wanalazimika kumshangaa mtu anayewahimiza wenzake wajitoe kwenye umoja. Ni kweli umoja ni nguvu. Lakini inategemea unafanya umoja na mtu wa aina gani. Hii ni kusema kwamba wakati mwingine umoja ni udhaifu na unaweza kumletea mtu madhara makubwa.

Unyonge wa Mwafrika – 1

Naikumbuka vyema Jumamosi ya Mei 30,1969 nilipohudhuria Sherehe za Vijana wa Tanzania zilizofanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga, Dar es Salaam na kuhutubiwa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Yah: Ugwadu na utamu wa tunda aujuae mlaji?

Nimesikiliza hotuba nyingi  na za viongozi wengi walionona sura zao kwa maisha ya hali bora, wakijaribu kutuzungumzia walaji wa matunda ya umaskini na jinsi  tunavyoteseka. Wote nawakubali lakini ni vema nikatoa tahadhari kuwa hayo maisha magumu wanayotuzungumzia wamehadithiwa hawayajui kabisa.

SALUM ABDALLAH Mwanzilishi wa Cuban Marimba

Mji wa Morogoro ni miongoni mwa miji iliyokuwa maarufu kwa michezo na burudani katika miaka ya 1950, 1960 na ya 1970.

Yanga iwe makini ili isimpoteze Jaja

Na Robert Mwandumbya

 

Genilson Santos Santana ‘Jaja’, ambaye kwa sasa ametawala vichwa vya vyombo vya habari, ameifungia Yanga mabao manne katika mechi tano alizocheza. Lakini taarifa nyingine zinasema kwamba katika mazoezi yaliyopigwa Uwanja wa Bandari, Loyola na kule Zanzibar, nyota huyo amefunga mabao zaidi ya 40.