Category: MCHANGANYIKO
Man. United ipo kazi mwaka huu
MK Group ilivyotesa miaka ya 1990
Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya Bahari Beach Dar es Salaam.
Unyonge wa Mwafrika – 2
Juma lililopita nilizungumzia kwa ufupi unyonge wa Mwafrika, ambao Mwalimu Julius Nyerere amesema unyonge huo uko wa aina mbili. Unyonge wa kwanza amesema ni unyonge wa MOYO, unyonge wa ROHO. Unyonge wa pili ni unyonge wa UMASKINI.
Yah: Tumalizeni, lakini kumbukeni wapigakura wenu
Sasa ni miaka kama kumi hivi tangu Serikali ilipotangaza ajira za vijana wapigakura na wenye uchu na maisha bora kama nafasi milioni moja, katika ajira hizo bila kufanya utafiti wa kina naweza nikasema robo tatu ya ajira hizo ni udereva wa pikipiki.
Rais ajaye asipoitupa hii Rasimu tutashangaa!
Nashawishika kuamini kuwa kama Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage
Nyerere, angekuwa hai, jambo moja kubwa ambalo angelipinga kwenye
Watanzania tuchimbe madini yetu wenyewe
Awali ya yote namshukuru sana Mwenyezi Mungu ambaye kwa rehema zake nyingi anatuwezesha kuendelea kuwapo katika uso wa dunia hii.
Binafsi natambua kuwa nayaweza haya yote niyatendayo kila siku kwa sababu yupo mwenye uwezo kuliko wangu, na ndiye anitiaye nguvu na kuniwezesha ipasavyo kulingana na mapenzi yake.
- Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
- Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
- Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
- Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Habari mpya
- Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
- Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
- Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
- Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
- Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
- Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
- Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
- Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
- Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine
- UN yaridhia Israel kuondoka Palestina
- Msongozi awashauri wanawake kugombea nafasi za wenyeviti Serikali ya Mtaa
- Waziri Mhagama afurahishwa na MSD inavyookoa maisha ya watoto njiti
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari