JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Man. United ipo kazi mwaka huu

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu England, Manchester United ilipata ushindi wa pili katika mchezo wake wa Jumamosi iliyiopita dhidi ya West Ham United.

MK Group ilivyotesa miaka ya 1990

Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki  katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya  African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya  Bahari Beach Dar es Salaam.

Unyonge wa Mwafrika – 2

Juma lililopita nilizungumzia kwa ufupi unyonge wa Mwafrika, ambao Mwalimu Julius Nyerere amesema unyonge huo uko wa aina mbili.  Unyonge wa kwanza amesema ni unyonge wa MOYO, unyonge wa ROHO.  Unyonge wa pili ni unyonge wa UMASKINI.

Yah: Tumalizeni, lakini kumbukeni wapigakura wenu

Sasa ni miaka kama kumi hivi tangu Serikali ilipotangaza ajira za vijana wapigakura na wenye uchu na maisha bora kama nafasi milioni moja, katika ajira hizo bila kufanya utafiti wa kina naweza nikasema robo tatu ya ajira hizo ni udereva wa pikipiki.

Rais ajaye asipoitupa hii Rasimu tutashangaa!

Nashawishika kuamini kuwa kama Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage

Nyerere, angekuwa hai, jambo moja kubwa ambalo angelipinga kwenye

Watanzania tuchimbe madini yetu wenyewe

Awali ya yote namshukuru sana Mwenyezi Mungu ambaye kwa rehema zake nyingi anatuwezesha kuendelea kuwapo katika uso wa dunia hii.

Binafsi natambua kuwa nayaweza haya yote niyatendayo kila siku kwa sababu yupo mwenye uwezo kuliko wangu, na ndiye anitiaye nguvu na kuniwezesha ipasavyo kulingana na mapenzi yake.