Category: MCHANGANYIKO
PPRA yataja siri ya kupata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha mamlaka za udhibiti
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MENEJA Kanda ya Pwani kutoka Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), Vicky Mollel amesema kuwa mamlaka hiyo ilitarajia ushindi kutokana na nguvu kubwa waliyoiweka katika kuhamasisha Umma. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na…
UDOM yaibuka mshindi wa kwanza kipengele cha taasisi za elimu ya juu katika Sabasaba
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM), kimepata tuzo ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha Taasisi za elimu ya juu katika maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) maarufu kama…
Katavi kuwa kanda ya ununuzi wa mazao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia Hassan ameutangaza mkoa wa Katavi kuwa kanda maalum ya ununuzi wa mazao na uhifadhi wa nafaka ya chakula. Ametoa kauli mara baada ya kuzindua vihenge vya kisasa, na ghala za kuhifadhia…
NIRC yawataka wakandarasi kusaidia jamii maeneo yenye miradi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi. Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa…
Kisarawe yaita maabara kutoa elimu ya ufugaji
WILAYA ya Kisarawe iliyoko Mkoa wa Pwani, imewaita Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), kutoa elimu kuhusiana na ufugaji kwa wana Kisarawe ili wafuge kisasa. Mkuu wa Wilaya hiyo, Petro Magoti ametoa wito huo alipotembelea banda la TVLA katika Maonesho ya 48…