JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Werrason alivyokonga mashabiki wa muziki

Werrason Dima Makanda ni mmoja wa wanamuziki wa Kongo wenye washabiki wengi sana hapa nchini na Afrika kama si duniani kiujumla.

Watanzania tuchimbe madini yetu wenyewe – 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii, mwandishi alieleza kwa kina umuhimu kwa Watanzania wenyewe kuanza kuchimba madini, ili wafaidike nayo badala ya utaratibu wa sasa unaowanufaisha wageni zaidi. Endelea…

Maoni ya wananchi kuhusu Katiba yaheshimiwe

Kesho Jumatano, Oktoba 8 mwaka huu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, wa Tanzania, na Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wanatazamiwa kukabidhiwa rasmi Katiba iliyopendekezwa kutoka Bunge Maalum la Katiba, mjini Dodoma.

Yah: Tulikuwa tunamiliki majembe matatu na siyo simu tatu

Huwa napata taabu sana ninapojaribu kufananisha mambo yetu na yenu. Huenda ni maendeleo ama ni mimi kupitwa na kitu kinachoitwa ‘kwenda na wakati’. Kwa hakika sijisikii vizuri lakini sina budi kukubali matokeo.

Leo nimeanza na kitu kilichokuwa ni muhimu sana enzi zetu — jembe. Ilikuwa fahari kuyaona majembe ndani ya nyumba zetu yakiwa yamehifadhiwa katika kona ya nyumba kuonesha ushujaa wa ukulima wa nyumba bora.

Bila umoja tutaendelea kudundwa

Kwa mara nyingine baadhi ya wanahabari wenzetu wamejikuta wakipigwa. Kama ilivyo ada, walioshiriki kufanya hivyo ni polisi.

Ufwiliku huu wa nini? (2)

Sehemu ya kwanza ya makala hii, mwandishi alieleza namna Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alivyowazuia wafuasi wa TANU kuandamana wakati wakoloni walipomfungulia kesi ya uchochezi mwaka 1958. Kwa ufupi mwandishi anapinga njia ya maandamano inayotumiwa na wanasiasa kufikia malengo yao, akiiona kuwa ni ya hatari. Endelea…..