JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Balozi Mushi nakuunga mkono, ushoga hapana

Mpendwa msomaji natumaini hujambo kiasi. Nakushukuru wewe na wengine kwa ujumbe na mrejesho mkubwa mlionifikishia wiki iliyopita, baada ya makala yangu ya kuomba Watanzania tusifanye majaribio katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Hotuba iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania 9, Desemba, 1978

Ndugu Wananchi,

Leo ni siku ya ambayo Tanzania Bara inatimiza miaka 17 tangu tumejikomboa na ukoloni. Kwa kawaida siku kama ya leo  huwa tunafanya Gwaride Rasmi ambalo huwa lina  linakaguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Mwekezaji alivyomvuruga Kamishna Madini

Mwekezaji katika migodi ya madini ya ujenzi, Majaliwa Maziku, anadaiwa kumlaghai Kamishna wa Madini nchini Tanzania, Paul Masanja, ili kufanikisha azma yake ya kupora ardhi ya wananchi kinyume cha sheria ya madini.

Kunani tena kwa Hasheem Thabeet?

Klabu ya Pistons inayoshiriki kwenye Ligi ya Kikapu ya Marekani maarufu kama NBA, imemtema rasmi mchezaji Mtanzania, Hasheem Thabeet, pamoja na nyota wengine wanne.

Rage azitabiria mabaya Simba, Yanga

Mwenyekiti mstaafu wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Ismail Aden Rage, amesema kwamba michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu itakuwa ngumu kwa timu za Simba na Yanga.

Ole kwa mabenki!

Miezi kadhaa nyuma nilikuwa safarini katika moja ya miji iliyopo Nyanda za Juu Kusini. Nilipofika stendi kuna kitu kimoja kilinivutia na nikaamua kukitafakari kwa umakini zaidi.