Category: MCHANGANYIKO
Babati DC haijakurupuka bali imejipanga na miradi yenye Viwango -Mnzava
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava amesema Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara haijakurupuka bali imejipanga kwa kuwa na miradi yenye viwango. Hayo amezungumza Julai 16, Mwaka huu wakati…
Pandu aiomba Serikali kuligawa Jimbo la Namtumbo ili kurahisisha upatikanaji huduma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Juma Pandu ameiomba Serikali kuona umuhimu wa kuligawa jimbo la Namtumbo ili wananchi waweze kupata huduma mbalimbali kwa urahisi tofauti na hivi sasa jimbo hilo lina…
Mwenyekiti BAWACHA Mara akemea rushwa ndani ya chama
Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa wa Mara (BAWACHA), Veronica Irecho amekemea vikali vitendo vya rushwa vinavyojitokeza ndani ya Chama cha Demokakrasia na maendeleo (CHADEMA) Akizungumza katika kikao cha 7 tangu aanze ziara ya…