Category: MCHANGANYIKO
Viswaswadu kutumika kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga kura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAPIGAKURA waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wataweza kutumia simu zao ndogo za mkononi (vitochi au viswaswadu) kuanzisha mchakato wa kuboresha au kuhamisha taarifa zao. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma…
Mabomu baridi 700 kutumika Nachingwea kudhibiti tembo
Na Anangisye Mwateba-Nachingwea Lindi Wizara ya Maliasili na Utalii inatarajia kugawa mabomu baridi yapatayo 700 kwa ajili kukabiliana na wanyama wakali na waharibifu wilayani Nachingwea. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula (Mb) alipokuwa akiongea…
Nape : Msinunue vocha tofauti na bei iliyoelekezwa
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Mwanza Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amewataka wananchi kutokubali kununua vocha kwa bei tofauti na iliyoandikwa kwenye vocha hizo ambayo zimeelekezwa na Serikali. Waziri Nape ametoa kauli hiyo…
Global Education Link yadahili wanafunzi maonyesho ya vyuo vikuu Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu nje ya Nchi Global Education Link (GEL), imeanza kudahili wanafunzi papo hapo kwenye maonyesho yanayoendelea kwenye viwanja vya Maisala visiwani Zanzibar. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa GEL, Abdulimalick Mollel, wakati akizungumza…
Watuhumiwa 179 Mwanza wadakwa kwa makosa mbalimbali
Katika kipindi cha mwezi mmoja kuanzia Juni 1 hadi Julai 8, 2024 Jeshi la Polisi wamefanya oparesheni dhidi ya wahalifu na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa 179 wa makosa mbalimbali na kuwafikisha mahakamani huku wengine upelelezi wa kesi zao bado unaendelea. Jeshi…