JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ni akina nani walichukua fedha Stanbic?

Desemba 22 mwaka jana, Rais Jakaya Kikwete alihitimisha mjadala wa sakata la Escrow pale alipozungumza na wazee wa Dar es Salaam.

Tumepata wapi upofu kutoona aliyofanya Maswi?

 

Wiki mbili zilizopita nilipata fursa ya kusafiri kwenda Rwanda, Burundi na mkoani Kagera. Sehemu kubwa ya safari hii nilitumia gari. Nimepita nchi kavu kutoka Mwanza, Bukoba Mjini, Biharamulo hadi Ngara. Niliyoyaona yamenikumbusha nchi ilivyokuwa miaka ya nyumba kwenye suala la umeme.

Ahadi ya Waziri Nyalandu kwa Wakenya yawaponza Watanzania

 

Kama si mfuatiliaji wa mambo unaweza kuamini kuwa Wakenya wamekurupuka kuyazuia magari ya Watanzania kubeba abiria kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya.

Wataka Mahakama Maalum ya dawa ya kulevya

Baadhi ya wanasheria, viongozi, wananchi na watumiaji wa dawa za kulevya wamependekeza kuanzishwa kwa Mahakama Maalum ya Dawa za Kulevya wakiamini kuwa itapunguza tatizo hili nchini, ingawa baadhi ya viongozi wamesema uadilifu ni zaidi ya Mahakama Maalum, gazeti la JAMHURI limebaini.

Iddi Azzan afunguka

• Aeleza alivyohusishwa na uuzaji wa ‘unga’
• Ataka wasambazaji wahukumiwe kifo
• Afafanua utajiri wake, asema bila kazi huli
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan, amezungumzia kwa mara ya kwanza tuhuma zinazotolewa dhidi yake kuwa yeye ni muuzaji mkubwa wa dawa za kulevya nchini. Yafuatayo ni mahojiano kati ya Mbunge huyo na JAMHURI yaliyofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.

Escrow ni jaribu kubwa kwa Katiba

Wiki hii ni ya majaribu ya aina yake kwa Bunge la Tanzania na dhana ya utengano wa madaraka, kwa maana ya kudurusu ukuu wa Katiba mbele ya sheria nyingine za nchi. Sidhani kama natakiwa kutumia muda mwingi kueleza kashfa ya IPTL kuhusiana na akaunti ya Escrow.