Category: MCHANGANYIKO
Waadhimisha Siku ya Nelson Mandela Dar
Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kila Julai 18 ya kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela ikiwa ni kuenzi ya aliyoyafanya katika jamii ya Waafrika Kusini, Waafrika na Dunia kwa ujumla. Kupitia kikao cha Jumuiya ya…
Pinda atoa zawadi kwa walimu Kavuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda ametoa zawadi za majiko ya gesi kwa walimu wa shule za…
Tathimini ujenzi wa barabara kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya ‘Ecoroads’ yaleta matumaini
Na. Catherine Sungura,CHAMWINO Teknolojia ya kisasa ya ujenzi wa barabara kwa kuboresha udongo kabla ya kuweka lami juu ijulikanayo kama ‘Ecoroads’ imeonesha matumaini katika miezi sita ya majaribio. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia miundombinu Mhandisi…
Global Education Link yadahili wanafunzi maonyesho ya vyuo vikuu Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu nje ya Nchi Global Education Link (GEL), imeanza kudahili wanafunzi papo hapo kwenye maonyesho yanayoendelea kwenye viwanja vya Maisala visiwani Zanzibar. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa GEL, Abdulimalick Mollel,…
Dulla Makabila, Linex wapamba tamasha la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva na Singeli, Sande Mangu almaarufu Linex na Abdallah Ahmed maarufu Dulla Makabila leo Julai 18,2024 wameingiza shangwe kwa wakazi wa Kigoma kwa kutoa burudani kali katika Tamasha la uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu…
NMB yawapiga msasa wanahabari masuala ya bima
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), imeipongeza Benki ya NMB kwa kukuza Uelewa, Ufahamu na Elimu ya Bima kwa Jamii, huku ikivitaka vyombo vya habari nchini kuisaidia Serikali kuibeba kwa uzito mkubwa agenda hiyo ya kimkakati kuipeleka kwa Watanzania….