JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ukraine yaivuruga Urusi

Vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea nchini Ukraine imeelezwa kutanuka na kusambaa nchini Urusi baada ya kiongozi wa upinzani, aliyepata kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Urusi, Boris Nemtsov, kupingwa risasi mwishoni mwa wiki.

Tutafakari vyema uamuzi wetu Oktoba

 

Unaweza ukajiuliza ni kwanini Ugiriki imeyumba vibaya kiuchumi? Sababu zipi za kiuchumi zilizoifikisha hapo ilipo?

Tumerudi mtandaoni, samahani kwa kupotea mwezi mzima

Wapendwa wasomaji wetu salaam, Kwa muda wa mwezi mmoja sasa tangu Januari 29, 2015 mtandao wetu haukuwa hewani kutokana na ujambazi wa mtandaoni (hacking). Hatujui ni nani, ila mtandao wetu ulitekwa na ikawa hatuwezi kuingia kuweka habari au vinginevyo. Kwa…

Salamu za kiuchumi mwaka 2015

 

 

Ndugu wasomaji wa safu hii na gazeti hili, nawasalimu kwa salamu za upendo. Hongera kwa kuwezeshwa na Mungu kuuona mwaka huu mpya wa 2015. Pasipo kujali hali zenu katika maeneo yote; ninaamini lipo tumaini kwa mwaka huu.

Tanzania nchi kubwa, inavuka Kibaha

 

 

Kwa Watanzania wengi Tanzania ni nchi kubwa sana. Kwa Kaskazini inaanzia Ziwa Nyanza (Ziwa Victoria) ikipakana na Kenya na Uganda, na kushuka Kusini hadi Mto Ruvuma inapopakana na nchi ya Msumbiji.

Waraka kwa Wabunge kuhusu Escrow (2)

Waheshimiwa Wabunge,

Hii ni sehemu ya pili ya masimulizi juu ya ukweli wa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow.