JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kukataa rushwa ni ukombozi kwetu

Na Angalieni Mpendu   Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. Msemo wa ilani hii umesemwa miaka mingi katika nchi yetu, tangu awamu ya kwanza hadi hii ya nne ya utawala wetu huru wa Watanzania.   Nasema kabla…

Matumizi ya mtandao yanakosa busara sasa

Taarifa za uongo za hivi karibuni zilizosambaa kueleza kuwa Mama Maria Nyerere ameaga dunia zimeibua maswali kuhusu wajibu na umakini wa baadhi ya watu wanaotumia teknolojia ya habari na mawasiliano. Aliyeanzisha uongo huo ni dhahiri alifahamu kuwa anaandika uongo kwa…

Kubadili hati ya nyumba, kiwanja kwa haraka andaa nyaraka hizi

Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina, yaani kutoka mmiliki wa awali kwenda kwa mmilki mpya aliyenunua.   Upo usumbufu unaosababishwa kwa makusudi na maofisa wanaohusika, lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka kubadili…

Papa Francis anguruma tena

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, kwa mara nyingine ametoa kauli ya kuwaaga viongozi na waamini wake ulimwenguni kwamba kuna kila dalili za yeye kuachia ngazi hivi karibuni.   Katika mahojiano yake na Kituo cha Televisheni cha Mexico,…

CCM inasafisha nyota Karimjee, asante Jaji Warioba

NA ALFRED LUCAS Huu kweli ni mwaka wa uchaguzi. Vioja na vitimbi havitaisha mwaka huu. Lengo la chama cha siasa chochote kile duniani ni kushika dola. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinataka kibaki madarakani, vile vinavyopambana na chama hicho, kadhalika. Kabla…

Maji bado ni tatizo sugu

*Wananchi wanakunywa maji na ng’ombe visimani Na Clement Magembe, Handeni   Wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wamesema tatizo la maji limezidi kuwa sugu huku baadhi ya maeneo yakipata maji iwapo viongozi wa kitaifa wanapofanya ziara zao wilayani humo,…