JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mikopo ni sehemu ya biashara

  Visa na mikasa ya wajasiriamali kukopa na baadaye kujikuta wakishindwa kurejesha mikopo yao ni vingi sana mahali pote, si tu Tanzania bali duniani kote. Mikopo imekuwa chanzo cha baadhi ya wajasiriamali na wafanyabiashara kudhalilika, kurudi nyuma kimaendeleo na hata…

Chadema la Zitto sawa, hamtambui Mahakama?

Wiki iliyopita ilikuwa ni historia nyingine katika siasa za Tanzania. Tulishuhudia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe akiachia ngazi baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kumfukuza uanachama. Zitto amefukuzwa uanachama ukiwa mwendelezo wa harakazi na misigishano ya…

Membe alivyopokewa na Ukoo wa Nyerere Burito

Wanaukoo wa Burito ambao ndiyo chimbuko la ukoo wa Chifu Nyerere Burito, hivi karibuni ulifanya Mkutano Mkuu wa Ukoo wa mwaka 2015. Mgeni rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi. Kulikuwa na wageni waalikwa wengi, akiwamo Waziri…

Uraia siyo uzalendo

Na FX Mbenna BRIG GEN (MST)   Kuna tofauti kubwa kati ya maneno haya mawili – uraia na uzalendo. Hapa nchini Tanzania upo mkanganyiko mkubwa wa utumiaji usio sahihi wa maneno mbalimbali.  Baadhi yetu tunaona neno uraia ni sawa tu…

Kweli Rais Kikwete kachoka

Rais Jakaya Kikwete ameshachoka. Huhitaji kuwa mnajimu kulijua au kuliona hilo. Mwaka jana akiwa ughaibuni, mbele ya viongozi wengine wa Afrika na dunia, hakusita kuwathibitishia kuwa kachoka. Akasema anasubiri kwa hamu muda wake wa kung’atuka uwadie arejee kijijini kuendelea na…

Yah; Sasa natamani kuwa rais wa awamu ijayo

Kuna wakati nahisi kuwa kama kichaa maana nafikiria vitu ambavyo ni kama mbingu na ardhi, haiwezekani kutokea katika ulimwengu wenye fatiki kali za kisiasa na kiuchumi.   Haziwezekani kwa sababu kuna mambo ya uanachama na kujulikana, haiwezekani kwa sababu kuna…