JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wajua mgawanyo wa mali ndoa ya mke zaidi ya mmoja inapovunjika?

Kipindi fulani huko nyuma wakati nikieleza masuala ya sheria za ndoa, nilipata kuzungumzia utaratibu wa mgawanyo wa mali iwapo ndoa inavunjika. Kimsingi nilieleza mgawanyo wa mali katika msingi wa uwepo wa ndoa ya mke mmoja. Sikuwahi kueleza mgawanyo wa mali…

Barua ya kijasiliamali kwa wanawake

Ndugu akina mama na akina dada, nawasalimu kwa salamu za fedha ziletwazo na uchumi na ujasiriamali. Naamini barua hii itawafikia salama mkiwa mmesherehekea Pasaka kwa amani na mkiwa mmeanza robo ya pili ya mwaka kwa mafanikio.  Si mara yangu ya…

Mtego mkali ulitumika kuinasa Sosolis

  Bendi ya Trio Madjes 'Sosoliso' ilikuwa imesheheni vijana na kuweza kulitikisa jiji la Kinshasa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika muziki. Chanzo cha kuanzishwa kwa bendi hiyo kunaelezwa kuwa kulitokana na kuporomoka kwa Bendi ya Orchestra Veve baada…

Sababu za kufeli hizi hapa

  Umbali mrefu kati ya shule za sekondari za kata na makazi ya wanafunzi unachangia kwa kiasi kikubwa ‘anguko’ la wanafunzi katika matokeo ya mwisho ya wahitimu wa kidato cha nne kila mwaka.  Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa muda…

Mke asiye wa ndoa, mtoto wa nje hawarithi kisheria

Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea hayati alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshuhudia ugomvi mkubwa misibani, pia tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali…

Wakati Dar kumejaa, tusisahau vijijini

Nionavyo mimi, jiji la Dar es Salaam limejaa. Watu, magari, na changamoto za kila aina.  Takwimu za Sensa ya Taifa ya mwaka 2012 ilionesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wakazi 3,133 kwa kilomita ya mraba wakati wastani…