JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia ana maamuzi magumu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo tumeshuhudia kishindo kikubwa katika siasa za Tanzania. Kishindo hiki kimetokana na kalamu ya Rais Samia Suluhu Hassan, juu ya ‘maamuzi magumu’ aliyoyafanya kwa mawaziri wanne. Ametengua uteuzi wa mawaziri…

Mwigulu: Hakuna uchotaji fedha BoT

WAZIRI wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema hakuna utata au uchotaji wa Fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Kupitia ukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa X Dk Mwigulu ameeleza kuwa BoT inasimamia kwa umakini sheria za nchi na…

‘House Girl’ aliyemchinja mtoto wa bosi wake akamatwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kumkamata dada wa kazi aliyefahamika kwa jina la Clemensia Mirembe (19) aliyekuwa anatafutwa kwa kosa la kumchinja mtoto wa bosi wake. Tukio hilo…

Bukombe waishuku Serikali kwa maendeleo

📌 Wajivunia ujenzi wa miundombinu huduma za jamii 📌 Dkt. Biteko Asisitiza umuhimu wa ushirikiano kuleta maendeleo 📌 Ataka Wananchi kuchagua Viongozi Wenye Sifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

DC Magoti ampigia simu Aweso, tatizo la maji Majumba Sita

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe BAADHI ya maeneo kata ya Kiluvya wilayani Kisarawe, mkoani Pwani ikiwemo Makurunge, Majumba Sita wamelalamikia ukosefu wa maji hali inayosababisha kutumia maji ya bwawani na wanafunzi kubeba kupeleka shule ili kukabiliana na kero hiyo. Akizungumzia…

Waziri Bashe akabidhi mradi wa umwagiliaji Luiche Kigoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) ameshiriki katika kukabidhi mradi wa umwagiliaji wa Bonde la Luiche, mkoani Kigoma lenye ukubwa wa hekta 3000 kwa mkandarasi M/S CRJE (East Africa) LIMITED ya Dar es Salaam kwa…