JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mkopo: Namna ya kuokoa nyumba, kiwanja kisiuzwe

Wakopaji nao wana haki zao. Yapo mambo ya msingi ambayo wanapaswa kuyajua ili yakulinde iwapo mambo yamewaendea vibaya. Ukweli ni kuwa ni busara unapokopa kulipa deni, lakini iwapo sababu za kibinadamu zimejitokeza, ambazo ziko nje ya uwezo wa mkopaji na…

Weusi wa Balotelli watikisa

Mshambuliaji wa Liverpool, Mtaliano Mario Balotelli, ndiye mchezaji aliyebaguliwa zaidi katika Ligi Kuu ya England, imefahamika.  Taarifa zinasema kwamba mchezaji huyo hupokea ujumbe wa aina mbalimbali katika mitandao ya Twitter, Facebook, Instagram na WhatsApp ambako jumla yake ni 8,000 kwa…

Ugaidi Tanzania

Serikali imetakiwa iwe makini kuhakikisha inavitumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama na wananchi kukabiliana na tishio la makundi ya kigaidi, hasa al-Shaabab kutoka Somalia. Mbunge wa Kigoma Kusini – NCCR-Mageuzi, David Kafulila ameliambia JAMHURI kwamba Tanzania inapaswa kuwa makini….

Mimi ni Mwalimu, niliingia siasa kama ajali tu

                  Watanzania mwaka huu wanaingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa tatu, bila ya mwasisi wa Taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Taarifa zinasema kwamba Nyerere alizaliwa mwezi kama huu, tarahe 13 (ya jana),…

‘Drones’ zitaua uhuru wa Afrika (2)

Tanzania imebadilisha sheria za kumiliki ardhi karibu mara nane katika muda wa miaka kumi na moja ili kuruhusu wananchi kuporwa ardhi yao na wageni – “kisheria”. Uhalali wa sheria yoyote ni kutenda haki; lakini sheria zinazoidhinisha uwekezaji wa wageni katika…

Waliochota PAP wako wapi?

                                                Mgogoro wa ubia katika kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited baina ya Mechmar…