JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yah: Serikali lazima itishe watu ili mambo yaende

Kuna wakati niliwahi kumsikia Mwalimu Julius Nyerere akihutubia wananchi juu ya kulipa kodi. Katika hili alisema serikali ni lazima wawe wakali ili kila mtu aweze kulipa kodi, kodi ni kwa maendeleo ya nchi na watu wake, haiwezekeni Serikali icheke na…

Dangote amponza Kairuki TIC

Wakati aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), ametajwa kutenguliwa uteuzi wake kwa kukataa kuchukua mshahara wa Serikali kwa miaka mitatu mfululizo, uchunguzi umebaini kuwa jipu la kusamehe kodi Kampuni ya Saruji ya Dangote ndilo lililomwondoa. Uchunguzi uliofanywa na…

Bunge lapasuka

Tuhuma za wabunge kuchukua au kuomba rushwa kutoka katika mashirika na taasisi wanazozisimamia, zimechukua sura mpya baada ya kubainika mkakati unaosukwa na wabunge wafanyabiashara ya mafuta kuiangamiza Mamlaka ya Nishati na Maji (EWURA), waweze kurejesha uchakachuaji wa mafuta. Mbali na…

Tigo ‘inavyoumiza’ wajawazito Msewe

Kwa muda sasa MM amekuwa haonekani. Kuna maswali mengi juu ya kupotea kwake, lakini anawahakikishia wasomaji kuwa bado yupo, ukiachilia mbali matatizo ya kiafya ya hapa na pale yanayosababishwa na umri wake. Ni kwa sababu hizo hizo za umri, MM…

Abdallah Gama: Mkali mwenye historia ndefu katika muziki

Nina uhakika wale mashabiki wa Bendi ya DDC Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ Ngoma ya Ukae’ wakati huo – vijana wa zamani, watakuwa wanakumbuka mbali kila pale linapotajwa jina la mwanamuziki Abdallah Gama. Gama ni mkung’utaji mahiri wa gitaa la kati…

Nguvu ya wataalamu katika biashara

Nianze kwa kuwashukuru makumi ya wasomaji ambao wameendelea kununua nakala ya kitabu changu kipya kiitwacho, ‘Mfanikio ni haki yako’. Kitabu hiki kinauzwa kwa njia ya mtandao, ambako ukishalipia fedha unatumiwa kwa njia ya barua pepe.  Kitabu hiki kinauzwa Sh. 5,000…