Category: MCHANGANYIKO
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu), Zainab Katimba amezielekeza halmashauri zote nchini zinazotekeleza miradi ya ujenzi wa shule mpya maalum za wasichana za mkoa kuhakikisha wanaongeza usimamizi wa mradi hiyo ili kuendana na thamani ya fedha. Ametoa maelekezo hayo Julai…
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Chama cha Mapinduzi (CCM) pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe wameupongeza Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa barabara ya Itoni – Lusitu kwa kiwango cha zege yenye urefu wa kilometa 50 ambayo…
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads), inaendelea na ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam Awamu ya Nne (BRT 4) kuanzia Daraja la Kijazi (Sam Nujoma) – Mwenge…
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shahidi Kiran Lalit Ratilal (52), ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jinsi mume wake alivyopigwa na mshtakiwa Bharat Nathwan (57) hadi kupoteza fahamu kutokana na ugomvi ambao ulikuwa unaendelea wa…
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VYUO 15 kutoka nje ya nchi vinatarajiwa kushiriki maonyesho yanatotarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi jijini Arusha. Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel, alisema jana kuwa walianza kufanya maonyesho Zanzibar kuanzia tarehe…
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita “Kila mwanadamu ameumbwa kwa kusudi maalumu la mwenyezi Mungu” msemo huu hutumiwa sana na baadhi ya watu wenye imani tofauti wakimsifu na kumtukuza Muumba wao kwa matendo makuu aliyowatendea katika dunia tuliyomo. Kuna watu wanafikiri…