JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mhasibu wa Halmashauri Mbarali atiwa hatiani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Mahakama ya Wilaya Mbarali imemhukumu aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Bw. Joseph Werema Ndimila adhabu ya kulipa faini ya 1,100,000 au kwenda jela mwaka mmoja na ameamriwa kurejesha kiasi cha sh. 4,000,000…

URUS Tanzania kupeleka teknolojia ya uhimilishaji mifugo kutoka Marekani, Brazil maonesho ya Nanenane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni sehemu ya kusaidia jitihada za kukuza sekta ya mifugo hapa nchini, Kampuni ya URUS itashiriki maonesho ya Nane nane mwaka huu katika mikoa sita ya Morogoro, Dodoma,Mbeya,Arusha, Simiyu na Kagera ikilenga…

TRC, Korea kushirikiana SGR

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Soga Shirika la Reli la Tanzania (TRC) limeingia makubaliano ya kibiashara na Shirika la Reli la Korea Kusini (Korail) yatakayoimarisha ushirikiano katika kuendeleza miundombinu ya reli barani Afrika. Makubaliano kati ya mashirika haya mawili yanaingia katika…

Afya kwa vijana ilivyopunguza magonjwa ya ngono Morogoro

Na Irene Mark, JamhuriMedia, Morogoro “UKISIKIA Mzazi anamwambia kijana wake ‘mleke huyo kokudanila’ hicho ni Kiluguru maana yake mwache huyo anakudanganya, hapo Mtoa Huduma za Afya ngazi ya Jamii sina cha kumwambia huyo kijana akanielewa. …Na hiyo ilikuwa sababu ya…

Biteko mgeni rasmi uzinduzi Sera ya Taifa biashara 2003 toleo la 2023

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam Tanzania imefikia , mauzo ya nje Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika yameongezeka kutoka shilingi trilioni 2.607 mwaka 2016 hadi shilingi trilioni 4.422 mwaka 2023, na mauzo nje kwenye Jumuiya ya Ulaya yameongezeka kutoka…

Serikali haikubaliani na vitendo viovu dhidi ya watoto – Masauni

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema kamwe haikubliani na haitakubaliana na vitendo vya kihalifu wanavyofanyiwa baadhi ya watu wasio na utu wala ustaarabu dhidi ya watoto ikiwemo ubakaji,ulawiti, mauaji kwani…