JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DK.KAMANI AWAONYA VIONGOZI VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI

MWENYEKITI wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika,Dk.Titus Kamani amesema Serikali kupitia tume hiyo ni awaelekeza viongozi wa Vyama vya Ushirika kutojihusisha kuuza mali za vyama hivyo pasipo kuzingatia sheria.   Hivyo amesema hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika…

YANGA YAIFUATA MAJIMAJI, SONGEA KUCHEZA MCHEZO WAO WA 16 BORA KOMBE LA FA KESHO JUMAPILI

  Kikosi cha Yanga leo kinatarajia kusafiri kuelekea Mkoani Songea kucheza na Majimaji katika mechi yao ya kesho Jumapili ya 16 Bora ya Kombe la FA. Yanga inakwenda Songea ikiwa ni siku moja tu tangu iliporejea kutoka Victoria, Shelisheli ambako…

KATIBU WA UWT JUDITH LAIZER KUTATUA TATIZO LA VYOO KATIKA SHULE YA YA MSINGI ILULA NA ISOLIWAYA ZILIZOPO KILOLO

Katibu wa umoja wa wanawake wa Ccm (UWT) wilaya ya Kilolo Judith Laizer akiongea na baadhi ya viongozi ,walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Isoliwaya wakatika wa kukabidhi msaada huo kwa ajili ya kujengea vyoo ya walimu wa shule…

MAHAKAMA YAMUACHIA HURU ALIYEPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA BILA KIBALI

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachiwa huru mfanyabiashara Abdullah Hauga (73) aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wa kupeperusha bendera ya Tanzania bila kibali. Hatua hiyo imekuja baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) Nolle Prosequi kuwasilisha chini ya kifungu cha…

RC Wangabo Awabaini Wakwepa Kodi Atoa Siku 7 Wajirekebishe Kabla ya Msako

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim wangabo amesikitishwa na kitendo cha wafanyabiashara kutumia mbinu mbalimbali za kukwepa kulipa kodi serikalini jambo linalorudisha nyuma maendeleo, hivyo kutoa siku saba za kujirekebisha kabla ya Mamlaka ya mapato kuanza msako mkali na…

SUDAN KUSINI KUWEKEWA VIKWAZO VYA SILAHA

NA MTANDAO Jitihada zinazofanywa na jumuiya za kimataifa kukomesha mapigano nchini Sudan Kusini zinaonekana kukwama, hali inayoashiria huenda nchi hiyo ikajikuta ikiwekewa vikwazo vya silaha. Timu inayofuatilia suala la usitishwaji mapigano na inayoungwa mkono na jumuiya ya kimataifa nchini humo,…