JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Liverpool vs AS Roma Leo Mtoto Hatumwi Dukana UEFA

Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inaendelea tena leo usiku ambapo Liverpool watakuwa wanaikaribisha AS Roma kwenye Uwanja wa Anfield. Liverpool waliingia hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Manchester City kwa jumla ya mabao 5-1. AS Roma nao walitinga hatua…

MOHAMED SALAH MCHEZAJI BORA WA MSIMU 2018/17 LIGI YA UINGEREZA

Nyota wa Liverpool, Mmisri, Mohamed Salah ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Mwanasoka bora wa England kwa msimu wa 2017/18. Tuzo hiyo maarufu kama ‘PFA Player of the Year’ ameitwaa Salah kutokana na kuonesha kiwango kizuri msimu huu ambapo amefunga…

KUNDI LA YANGA KOMBE LA CAF NI LA VIBONDE TUPU

Kufuatia droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kufanyika jana, uongozi Yanga wafurahia kupangwa na timu za ukanda wa Afrika Mashariki. Ukiachana na USM Alger inayotokea Algeria, Yanga imepangwa na timu za Rayon Sports…

MBEY CITY YAIPANIA YANGA LEO

Uongozi wa Mbeya City umesema tayari umeshajiandaa vizuri kuelekea mchezo wa leo wa ligi dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Yanga imewasili mjini humo jana ikiwa ina kibarua leo dhidi ya wenyeji wao Mbeya City, na ikiwa…

NEEMA IMEANZA KUMFUNGUKIA MBWANA SAMATTA

Neema imezidi kumfungikia mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Samatta anayekipiga katika Klabu ya KRC Genk ya Ubelegiji baada ya klabu tatu za England kumuwania.   Samatta aliyewahi kuichezea TP Mazembe ya DR Congo alijiunga na Genk mwaka 2015 baada ya mkataba wake…

Mwanasiasa wa Kenya Kenneth Matiba amefariki

Mwanasiasa shupavu wa upinzani nchini Kenya Kenneth Stanley Njindo Matiba amefariki. Mwanasiasa huyo amefariki akiwa na umri wa miaka 85. Ken, kama alivyojulikana nchini Kenya ameaga dunia katika Hospitali moja ya kibinafsi ya Karen, iliyoko Jijini Nairobi. Ken Matiba ambaye…