Category: MCHANGANYIKO
Rais Dk. Mwinyi kushiriki uzinduzi wa SGR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi atashiriki Uzinduzi wa Usafiri wa Treni ya Umeme kwa kutumia Reli ya Kisasa (SGR). Uzinduzi wa mradi wa SGR utafanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Serikali kutatua mgogoro wa ardhi ngara
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imepokea malalamiko ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi na Jeshi la Magereza katika kijiji cha Rusumo Wilayani Ngara Mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi wa kata ya Rusumo Wilayani Ngara Mkoani Kagera baada…
Wakili Mtatiro na Ally Kileo wataja sifa za Rais ajaye wa TLS
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, ukitarajiwa kufanyika kesho Ijumaa na kumpata Rais wa kukiongoza chama hicho miaka mitatu, wakili Julius Mtatiro na Ally Kileo wamewachambua kwa undani wagombea…
Meli ya mizigo kutoka China yatia nanga bandari ya Tanga
Meli kubwa iliyobeba mizigo ya tani elfu 14 kutoka nchini China imetia nanga katika bandari ya Tanga Kwa mara ya kwanza ikiwa na shehena za mizigo mbalimbali ikiwemo magari 300. Meli hiyo ya kampuni ya Seefront Shipping Service Ltd, imebeba…
Rais Samia kuzindua rasmi Reli ya mwendo kasi Dar-Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuzindua rasmi Reli ya mwendokasi(SGR)Agosti Mosi mwaka huu iliyoanza safari zake Julai 25 kutoka Dar Es Salaam hadi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary…