JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yah: Naamini wengi wetu ni bendera fuata upepo

Kuna wakati niliwahi kuandika barua mahususi katika uga huu, nikijaribu kuelezea madhara ya watu kuiga mambo na kushabikia bila kujua kile ambacho wanaiga kina madhara gani, wapo waigaji wa mambo bila kujua labda wanakoiga wanaigiza na siyo uhalisia. Mimi ni…

SIMBA YAPATA HARUFU YAUBINGWA BAADA YA KUITANDIKA YANGA 1-0

Bao pekee la Erasto Nyoni limeipa Simba ushindi dhidi ya watani zao wa jadi Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam . Nyoni alifunga bao hilo katika dakika ya 37 kwa…

SIMBA VS YANGA LEO SAA KUMI KAMILI JIONI

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaowakutanisha Simba na Yanga utakaochezwa leo Jumapili  29,2018 katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, utakuwa mgumu Zaidi ya chuma kutokana na historia ya timu hzio zinapokutana huwa ni vigumu kutabiri. Lakini…

MTIBWA VS AZAM FC NI MECHI YA KISASI

Mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara inachezwa leo Uwanja wa Manungu mjini Morogoro kwa wenyeji Mtibwa Sugar wakiikaribisha Azam FC. Tayari kikosi cha Azam kimeshawasili mjini Morogoro tangu jana kwa ajili ya mchezo huo utakaopigwa majira ya saa 8 mchana….

ARSENAL YAJIWEKA PABAYA EUROPA LIGI BAADA YA KUTOKA SARE NYUMBANI

  Timu ya Arsenal imeshindwa kuutumia vema uwanyja wake wa nyumbani kwenye kombe la EUROPA baada ya kwenda sare ya bao 1-1 na Atletico Madrid ya Hispania, goli la Arsenal lilifungwa na Mshambuliaje wake hatari Alexandre Lacazette kwenye dakika ya…

HIVI NDIVYO AS ROMA ILIVYOKUFA 5-2 ANFIELD NA LIVERPOOL

Liverpool imeitandika AS Roma kwa Mabao 5-2 na kujiweka sehemu nzuri ya kutinga hatua ya fainali, mabao ya Liverpool yalifungwa na Mshambuliaji Mmisri Mohamed Salah aliyefunga mabao 2 dakika ya 36 na 45 Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Msenegal Sadio…