JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wasimulia wanavyonufaika na Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Morogoro

Na Mwandishi Wetu, Morogoro WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Wakizungumza mkoani hapa jana, wananchi hao walimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan…

Wizara ya Nishati, Mtibwa wajadili ujenzi njia ya umeme

📌 Ni ya msongo wa kilovoti 132 📌 Ni kufuatia ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Mtibwa 📌 Bilioni 28 kutekeleza miradi ya umeme Vijijini Mvomero Morogoro Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema, Wizara ya…

Shindano la ‘KCB East Africa Golf Tour’ laanza rasmi Lugalo gofu

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shindano la Wazi la “KCB East Africa Golf Tour”limeanza Rasmi siku ya Leo katika Klabu ya Gofu ya ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari…

Historia yaandikea utekelezaji mradi wa chuma Maganga Matitu

H📌 Ni Mradi wa Dola Milioni 77 kwa Maendeleo ya Viwanda Nchini 📌 Utafiti Waonesha Uwepo wa Tani Milioni 101 za Chuma 📌 Dkt. Biteko Ahimiza Wananjombe Kutumia Fursa za Mradi 📌TANESCO, REA Wapewa Siku 5 Kushauri Namna ya Kufikisha…

Wanasheria watatua migogoro ziara ya Rais Samia Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro kwaajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Rais Samia yuko katika…