JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia aridhia vituo 75 vya kupoza umeme kujengwa nchini – Kapinga

📌 *Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme katika maeneo yote nchini 📌 Mradi kugharimu shilingi Trilioni 4.42 📌 Vituo nane vyakamilika; sita vipo asilimia 97 Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia…

Rais Samia azungumza na wakazi wa Mikumi

Sehemu ya Wakazi wa eneo la Mikumi Kona wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye yupo ziarani mkoani Morogoro tarehe 4 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya…

Dk Mpango asafiri kwa treni kushiriki Yanga Day

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wakiwasili katika Stesheni ya Treni ya Jijini Dar es Salaam mara baada ya kusafiri kutoka Dodoma kuelekea Dar es salaam kwa…