Category: MCHANGANYIKO
Mgina: TAEC tuna mchango mkubwa Sekta ya Kilimo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma TUME ya Nguvu za Atomu Tanzania, imetoa wito kwa Wakulima na wananchi kutembelea katika maonesho ya Nanenane ili kuweza kupata elimu kuhusu matumizi ya mionzi. Wito huo umetolewa na Mtaalamu wa Mionzi kutoka Tume ya…
Diwani ahukumiwa miaka miwili jela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe imemhukumu Diwani wa Kata ya Illangala Petro Misana Majula, adhabu ya kutumikia kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kukutwa na hatia katika makosa ya Ufujaji, Ubadhirifu pamoja na Matumizi…
TNMC : Jamii ifahamu haki na wajibu wa mgonjwa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma AFISA Uhusiano wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), Ezekiel Nyalusi amesema ni vyema jamii ikafahamu haki na wajibu wa mteja au mgonjwa pindi anapofika kupewa huduma za Afya katika kituo cha kutolea huduma….
Bodi ya Mkonge kuwaunganisha wakulima na masoko
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Mkonge Tanzania (TSB), imesema kuwa imekuwa ikiwaunganisha wakulima wa zao hilo na masoko ili wapate soko la bei nzuri. Hayo yamesemwa na Mkuu sehemu ya Maendeleo ya Mkonge kutoka TSB, Saimon…
Rais Samia awaalika wawekezaji Kilombero, Malinyi na Ulanga
📌 Ni kutokana na uwepo wa umeme wa kutosha katika kituo cha umeme Ifakara 📌 Asema Serikali itaendelea kuhakikisha uwepo wa umeme wa kutosha 📌 Vijiji vyote 110 Wilaya ya Kilombero vyafikiwa na umeme Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Kilombero Rais…