JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kamanda TAKUKURU Ruvuma aipa tano TARURA

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea KAMANDA wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda amepongeza wakala wa bara bara Mjini na Vijijini (TARURA) mkoani humo kwa kufanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu ya barabara katika kipindi cha mwaka fedha…

Rais Samia ataka Wizara ya Nishati kuongeza kasi usimamizi miradi

📌 *Lengo ni kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati 📌 Aeleza umeme unavyochagiza shughuli za kiuchumi 📌 Vijiji 621 Morogoro vyafikiwa na umeme kati ya Vijiji 669 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara…

Ngamia 300 wakamatwa mpakani mwa Tanzania na Kenya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ngamia 300 wamekamatwa kwenye hifadhi ya msitu wa Mwakijembe uliopo mpakani mwa Tanzania na Kenya, wakichungwa kwa lengo la kupata malisho. Mifugo hiyo iliyokamatwa Julai 23, mwaka huu, katika msitu huo wamebaki watatu baada ya…

Tumejipanga kutekeleza mkakati wa taifa nishati safi ya kupikia – Mramba

📌 Asilimia 80 ya Watanzania kutumia Nishati Safi ya Kupikia ifikapo 2034 📌 Atembelea Maonesho ya Kimataifa ya Nanenane 📌 Asema Sekta ya Nishati kufungamanisha Kilimo na Mifugo Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema Wizara ya Nishati…

TMDA yawashauri wananchi kutembelea banda lao kujifunza matumizi ya dawa Nanenane

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetoa wito kwa wananchi kutembelea banda lao lililopo katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji (Nanenane) ili kuweza kujifunza mambo mbalimbali hasa matumizi sahihi ya dawa. Wito huo umetolewa na Meneja TMDA Kanda ya…