JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Afya yawaita wananchi kutembelea banda lao Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MRATIBU wa Mabadiliko ya Tabia katika jamii kutoka Idara ya Kinga Wizara ya Afya, Grace Msemwa ametoa wito kwa wananchi kutembelea banda lao la Wizara ya Afya lililopo katika maonesho ya kitaifa ya Wakulima na…

Bodi ya Bima ya amana yajidhatiti kuimarisha uwazi katika utendaji wa Kampuni za Bima

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bodi ya Bima ya Amana(DIB)ikiwa na jukumu muhimu katika usimamizi na udhibiti wa sekta ya bima nchini imesema itaendelea kudhibiti , kusimamia na Kufuatilia kampuni zote za bima kuhakikisha zinazingatia sheria na kanuni ili kuweka viwango vya…

THBUB yalaani kitendo cha binti kufanyiwa ukatili na vijana watano

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imelaani kitendo cha video inayosambaa katika mitandao ya kijamii inayoonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti na ambapo imesema kitendo hicho sio cha kiungwana na hakikubariki…

EWURA CCC yatumia maonesho ya wakulima kuelimisha matumizi sahihi ya gesi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Maonesho ya Wakulima(Nanenane)yakiwa yanaendelea Jijini hapa, Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) limeendelea kutimiza wajibu wake kwa kuwaelimisha wananchi namna ya matumizi sahihi ya gesi. Hatua hii itawasaidia…

Mbaroni kwa tuhuma za kusambaza uongo kifo cha binti aliyedhalilishwa

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza ( 54) mkazi wa Kinondoni Tegeta Wazo kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo na uzushi za kifo…

Simba, Yanga kuumana kesho kwa Mkapa

Na Isri Mohamed Klabu za watani wa jadi, Simba na Yanga zinatarajia kuumana kesho katika dimba la Mkapa jijini kwenye mchezo wa nusu fainali ya ngao ya jamii. Makocha wa timu zote mbili wamezungumza na wanahabari na kuelezea walivyojipanga kuoneshana…