Category: MCHANGANYIKO
Haji Manara Waangukia Mashabiki wa Simba
Baada ya kuambulia kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa CCM Kirumba, jijini Mwanza, uongozi wa klabu ya Simba umewaomba radhi mashabiki wake. Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, ameibuka na kuomba…
SIMBA YAWEKA REKODI NYINGINE
Klabu ya Simba imeendelea kuweka rekodi kwa msimu wa pili mfululizo kuwa ni timu ya kwanza kwa kutoa mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu Bara. Msimu huu mshambuliaji Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda Meddie Kagere ndiye alikuwa mchezaji bora…
KOCHA CHELSEA AWATAJA WAFUNGA MABAO BORA LIGI KUU ENGLAND
Mshambuliaji wa Chelsea Eden Hazard anaweza kufunga mabao 40 msimu huu na kujishindia tuzo ya mfungaji mabao bora Ligi ya Premia, kwa mujibu wa meneja wa klabu hiyo Maurizio Sarri. Kwa mujibu wa BBC, Hazard alifunga mabao matatu dhidi ya…
Mechi 8 Mfululizo Yanga kucheza ndani ya Jiji la Dar es Salaam
Ratiba ya mechi 11 za Yanga zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara. Ratiba hii inaonesha Yanga watakuwa na jumla ya mechi 7 nyumbani na 4 ugenini. Yanga SC vs Stand United Yanga SC vs Coastal Union Yanga SC vs Singida…
LEO NDIYO SIKU YA MWISHO KUCHUKUA FOMU, SIMBA WATOA TAMKO
Uongozi wa Simba umesema leo ndiyo siku ya mwisho kwa wanachama wa timu hiyo kuchukua fomu kwa ajili uya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa klabu, Haji Manara, amewasihi wanachama wa klbu kujitokeza leo Jumatatu…
MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEPTEMBA 10, 2018
Posted by MICHUZI BLOG at Monday, September 10, 2018 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest No comments: Post a Comment Links to this post Create a Link Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) About Matukio-Michuzi MICHUZI…