JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwinyi ahimiza amani, umoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, amewataka Wazanzibari kuimarisha amani na umoja walionao ili kuleta maendeleo. Akizungumza katika Msikiti wa Ijumaa wa Bweleo, Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Magharibi baada ya Sala…

Bil. 1/- zatengwa jengo la saratani

Serikali imetenga Sh bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya huduma za saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda, Bugando ili kusogeza huduma katika mikoa minane ya Kanda ya Ziwa. Akizungumza kwa niaba ya waziri mkuu wakati wa…

Mafanikio katika akili yangu (20)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Mchungaji hawa ndio wanaua vipaji vya watu,’’ alisema Zawadi akiwa anaendelea kuchora. “Ni kweli wamempotezea muda sana Noel, hawakuwa wanamlipa na atakuja kufanya mambo makubwa, watamhitaji zaidi,’’ yalikuwa maneno ya mchungaji akimwambia Zawadi….

Yah: Baba nikiwa mkubwa nataka niwe mwalimu, tulisema!

Katika miaka ya hamsini huko ambako wasomaji wengi wa waraka huu walikuwa ama wanazaliwa au watu wazima wa kupiga kura watakumbuka nafasi ya mwalimu katika jamii yetu. Mwalimu alikuwa ni nani na kwanini mtu alikuwa mwalimu, na mwalimu alifananaje? Naamini…

Uhuru, Mapinduzi na Muungano ni muhimu kwetu (2)

Katika miaka 58 ya Uhuru na miaka 56 ya Mapinduzi hamna kilichofanyika kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii Watanzania. Aidha, katika Muungano hamna faida kwa Wazanzibari, bali kuna mafanikio kwa Watanganyika. Kauli hizi zina ukakasi na mzizimo kwa Watanzania. Maneno…

Singeli kuifunika Bongo Fleva? (1)

“Kila kitabu na zama zake.” Usemi huu umejidhihirisha kufuatia kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli uliochukua nafasi kubwa katika masuala ya burudani nchini. Muziki huu umekamata maeneo mengi nchini kufuatia mirindimo na maneno yanayoendana na wakati uliochagizwa kwa kiasi kikubwa…