JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Maisha ni mtazamo

Mafanikio yanategemea mtazamo. Kushinda kunategemea mtazamo. Furaha inategemea mtazamo. Shukrani inategemea mtazamo. Umaskini unategemea mtazamo. Utajiri unategemea mtazamo. Amani inategemea mtazamo.  “Mtazamo ni jambo dogo lakini linafanya tofauti kubwa,” alisema Winston Churchill. Kinachowatofautisha wavumilivu na waliokata tamaa ni jambo dogo…

Tiba ya kupumua hatari

Wakati viongozi wa dini nchini wakisisitiza umuhimu wa kuendelea kumuomba Mungu sambamba na kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona, COVID-19, mjadala wa gharama za matibabu nchini umeshika kasi….

GePG inavyoyapaisha mapato ya Serikali

Mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali yasiyokuwa ya kodi umezidi kuimarika kuthibitisha umuhimu wake katika kuongeza mapato, pongezi kwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuanzisha Government e-Payment Gateway kwa kifupi GePG. Katika kuhakikisha kuwa ukusanyaji wa mapato ya…

Mwisho wa Djodi na Azam FC hautishi sana

Nilisoma mahali Azam FC walivyoachana na fundi wao wa mpira raia wa Ivory Coast, Richard Djodi. Richard ni fundi kweli kweli, mpira ukiwa mguuni mwake hautamani autoe haraka. Lakini namba zimemhukumu. Azam FC wamemuonyesha mlango ulioandikwa Exit. Soka la kileo…

Kinyang’anyiro cha Pembe ya Afrika

DJIBOUTI CITY, DJIBOUTI Wakati dunia ikiwa inahangaika kupambana na janga la Corona, kuna mambo yanaendelea kimyakimya ambayo yanaweza kubadilisha mahusiano na muonekano wa nchi zilizo katika Pembe ya Afrika na hata Afrika Mashariki. Kinachoendelea katika eneo hilo hakina tofauti sana…

Mgogoro Mabangu Mining, wananchi bado unafukuta

Kampuni ya Mabangu Mining ya Mbogwe, mkoani Geita imekanusha kununua mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Nyakafuru, JAMHURI limeelezwa. Awali, wananchi wa kijiji hicho walikuwa wakiilalamikia Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya wakidai imezuia gawio la asilimia saba ya…