JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ujerumani kuilipa Namibia fidia

WINDHOEK, NAMIBIA Zaidi ya miaka 100 baada ya serikali yake ya kikoloni kufanya matendo ya kikatili kwa wakazi wa Namibia, Ujerumani imetambua makosa hayo kama mauaji ya kimbari. Ukatili huo ulifanywa dhidi ya watu wa jamii za Herero na Nama,…

Pumzika Jenerali Tumainiel Kiwelu

Na Joe Beda Rupia Luteni Jenerali Tumainiel Kiwelu ni mmoja wa viongozi watakaokumbukwa daima katika Mkoa wa Rukwa, hasa mjini Sumbawanga. Ndiyo, Jenerali Kiwelu. Hakika ameacha alama zisizofutika. Ninashindwa nianzie wapi katika kumuelezea mwamba huyo wa Vita ya Kagera. Anyway,…

Aeleza sababu ya Jua Kali kuvutia wengi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Msanii, mtunzi na mwongoza filamu, Leah Mwendamseke, maarufu kama Lamata, amesema uhalisia uliomo ndani ya tamthilia yake ya ‘Jua Kali’ ndiyo sababu ya kugusa mioyo ya watazamaji wengi. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Lamata…

Dayna amnasa Davido

DAR ES SALAAM  Na Regina Goyayi Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Dayna Nyange, yupo nchini Nigeria akiandaa nyimbo kadhaa zitakazokuwa kwenye EP (extended playlist) yake mpya. Akizungumza na JAMHURI, msanii huyo wa kike ambaye yupo kwenye mikakati ya kurejesha…

Kwa Mkapa hatoki mtu

*Kaulimbiu ya Simba iliyowafikisha Robo Fainali DAR ES SALAAM Na Dk. Ahmad Sovu  Kaulimbiu ni misemo rahisi inayotumiwa zaidi na wanasiasa au asasi fulani kwa lengo la kujenga hamasa yenye madhumuni ya kufikia malengo fulani. Makala hii madhumuni yake makuu…

Majaliwa kauvae u-Sokoine

DAR ES SALAAM Na Javius Byarushengo  “Ole wake kiongozi mzembe na asiye na nidhamu nitakayemkuta: Kiongozi wa siasa hana usalama wa aina yoyote. Usalama wake ni kudra ya Mungu na wananchi peke yake. Viongozi wazembe na wabadhirifu wahesabu siku zao. Labda…