Category: MCHANGANYIKO
Katibu Chama cha Ushirika Matandu Amcos Lindi mbaroni kwa kuhujumu uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Agosti 21, 2024, Mahakama ya Wilaya ya Kilwa imemtia hatiani aliyekuwa Katibu wa ‘Matandu AMCOS’ Salum Kitengwike katika Kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 17158/2024 Salum alikuwa anashtakiwa kwa kosa la kuisababishia hasara mamlaka kinyume na…
Mloganzila yawaita wenye shida ya nyonga na magoti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Muhimbili tawi la Mloganzila, imewataka watanzania wenye shida ya magoti na nyonga wajitokeze kwaajili ya kambi ya upasuaji kutoka kwa wataalamu wa ndani watakaoshirikiana na wabobezi kutoka nchini India. Kambi hiyo…
Mkutano wa kimataifa wa uwekezaji sekta ya madini Tanzania kuwavuta wawekezaji duniani – Mavunde
Asema Tanzania Iko tayari kwa Uongezaji Thamani Madini 📍Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amebainisha kuwa Tanzania iko tayari kuvutia Wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali kupitia Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini, unaotarajiwa…
Wizara ya Nishati yashiriki tamasha la Kizimkazi Zanzibar
📌 Yatoa huduma moja kwa moja kwa Wananchi kupitia Taasisi zake 📌 Nishati safi ya kupikia, yawa ajenda ya kuvutia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar. Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la…
DK. Mpango aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la mto Hurui
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Daraja la mto Hurui lililopo kata ya Kikore Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma huku akiwahimiza wananchi wa kata…
Wakili Mbedule apiga ‘Jeki’ Halmashauri ya Iringa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepata msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Wakili wa kujitegemea na mdau wa maendeleo, Jimbo la Kalenga, Sosten Mbedule ambaye ametoa seti sita za vifaa vya michezo na mipira…