Category: MCHANGANYIKO
Dk Nchimbi akutana na Waziri Liu China
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzii, (CCM) Dk Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa idara ya Mambo ya nje ya Chama cha Kikomunisti cha Uchina (CPC) comrade Liu Jianchao leo Agosti 26, 2024, China. Dk Emmanuel Nchimbi…
Kocha Stars ajibu Samatta, Msuva kutojumuishwa kikosini
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kaimu kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Hemed Suleiman ‘Morocco’ ametoa ufafanuzi kuhusu kukosekana kwa washambuliaji Mbwana Samatta na Simon Msuva, kwenye kikosi cha Stars kilichoitwa leo kwa ajili…
Akiri kuiba mtoto baada ya kuachika mara mbili
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limethibitisha kumkamata mwanamke mmoja aitwaye Khadija Juma (24) Mkazi wa kijiji cha Sengerema Wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora, akiwa na mtoto mchanga wa kike aliyemuiba kwenye kituo cha afya Ushetu mnamo Agosti 20,…
Mtaalamu bingwa wa nyonga na magoti atua Dar
· Ashirikiana na wataalamu wazawa upasuaji Mloganzila Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MTAALAMU bingwa wa ubadilishaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali kubwa nchini India ya Yashoda, Dk. Ram Mohan Reddy amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya…
Waziri Mavunde aitaka sekta ya binafsi kujiandaa na mapinduzi makubwa ya sekta ya madini
-Rais Samia aelekeza juu ya ushiriki wa idadi kubwa ya Watanzania kwenye sekta ya Madini -Viwanda vya ndani kuzalisha bidhaa za migodini -Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uzalishaji bidhaa migodini Afrika -Waziri Mavunde ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 3.1 za manunuzi…
DCEA yateketeza ekari 1,165 za mashamba ya bangi Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na wananchi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imefanya operesheni maalum mkoani Morogoro kwa muda wa siku tisa katika vijiji vya Nyarutanga,…