Category: MCHANGANYIKO
Mchengerwa: DART fanyeni mchakato haraka kuondoa adha ya usafiri
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es Salaam Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi Mohamed Mchengerwa amewataka Watendaji wa mabasi yaendayo haraka DART kuhakikisha wanafanya mchakato wa haraka kupunguza changamoto ya usafiri inayosababishwa na uhaba wa mabasi hayo . Agizo…
Serikali imelitambua deni la Kiwira Coal Mine la bilioni 1.52
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Madini Dkt.Steven Kiruswa amesema Serikali imelitambua deni la Shilingi Bilioni 1.52 lililotokana na mapunjo ya mafao kutoka kwa waliokuwa wafanyakazi na madeni ya Wazabuni wa Mgodi wa Kiwira Coal Mine kabla ya…
Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi
Na Mwandishi Maalum Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde amesema Tanzania inakaribisha wawekezaji wote wa madini mkakati na kuweka msisitizo kwamba uongezaji thamani wa madin hayo mkakati lazima ufanyike Tanzania. Mavunde ameyasema hayo leo Bali,Indonesia wakati wa majadiliano juu ya…