JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

MOI yafundisha wataalamu zaidi wa upasuaji ubongo kupitia pua

*Mgonjwa hupona kwa muda mfupi  *Bima ya Afya ni suluhu upatikanaji huduma za kibingwa   DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imepiga hatua nyingine kwenye maboresho ya miundombinu na vifaa vya kisasa katika upasuaji wa ubongo…

Uwazi kikwazo sekta ya madini 

LINDI Na Christopher Lilai Moja ya mambo yaliyosababisha kuwapo kwa vurugu za kuzuia mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita ni kukosekana kwa uwazi. Mwanzoni, wananchi wengi hawakuielewa kiundani dhima ya…

WADUNGUAJI HATARI KUMI ‘Shetani’ Chris Kyle (8)

Katika mfululizo wa makala hizi za kuangalia wadunguaji, leo tutamzungumzia mtu mwingine ambaye naye alikuwa mwanajeshi.  Moja ya madhila aliyokutana nayo ni yeye pia kulengwa na wadunguaji wengine wa upande wa maadui zao. Alikuwa ni mwanajeshi katika jeshi la Marekani…

Uongozi wa juu huakisi maisha ya wananchi

DAR ES SALAAM Na Mwl. Paulo Mapunda  Naomba nitamke mapema kwamba mimi ni Mkristo mwenye mizizi katika Ukatoliki na baadaye wokovu, nimezaliwa na kukulia ndani ya Ukatoliki, hata ndoa yangu nilifunga Parokia ya Manzese. Elimu yangu nimeipata katika shule zenye…

Mwendo wa kusuasua wa EAC

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Kijiografia Afrika Mashariki inaundwa na nchi tatu; Tanzania, Kenya na Uganda. Tanzania na Kenya zinapakana na Bahari ya Hindi kwa upande wa mashariki. Nchi hizi tatu zimeunganishwa na Ziwa Victoria. Baada ya nchi…

Sababu ya kutokukubalika ushahidi wa kuambiwa 

Na Bashir Yakub Ushahidi wa kuambiwa ni ushahidi unaotolewa na mtu ambaye hakuona tukio likitendeka, hakusikia tukio likitendeka, hakuhisi wala kuonja, wala kunusa hilo, bali aliambiwa na mtu mwingine aliyeona, kusikia, kuhisi, kunusa au kuonja.  Zifuatazo ni sababu kwanini ushahidi huu haukubaliki:- (A)  Sheria ya Ushahidi Kifungu cha 61 na 62 kinauweka ushahidi wa kuambiwa katika ushahidi wa maneno (oral evidence). Na kanuni za ushahidi wa maneno ni kuwa ili uweze kukubalika kama ushahidi sahihi ni lazima kama swali ni nani aliyeona tukio likitendeka, basi  jibu awe nalo mtu aliyeona tukio likitendeka, na kama swali ni nani aliyesikia tukio likitendeka, jibu awe nalo aliyesikia tukio likitendeka, na kama swali ni nani aliyehisi au kuonja kitu fulani, jibu awe nalo mwenyewe kabisa aliyehisi au kuonja kitu hicho, na kama swali ni mtaalamu yupi alipima na kugundua kuwa jambo fulani lilisababishwa na kadha wa kadha, jibu awe nalo mtaalamu huyohuyo na si vinginevyo.  Hii ndiyo kanuni inayoongoza ushahidi wote wa maneno…