JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yah: Chakula cha jioni kilicholiwa kwa kuzunguka sinia, ungo

Kwanza niwatakie habari njema waungwana wa uga huu wa ‘Waraka wa Mzee Zuzu’ mnaonijulia hali kila iitwapo leo, lakini pia wale wote mnaoguswa na kile ninachokiandika.  Si lazima kila mtu anielewe kwa sababu ninaamini msomaji wa waraka huu lazima awe…

Lugha ni msingi wa umoja

Umoja ni tabia ya kuungana ili kutekeleza shughuli fulani katika kundi kwa pamoja. Tabia hii ni ya binadamu, na baadhi ya wanyama na wadudu. Lengo la kuungana au kuwa na umoja ni kujipatia nguvu zaidi na uwezo zaidi katika kutenda…

Dk. Mpango alikoroga

*Atoa maagizo nje ya mipaka ya Makamu wa Rais kikatiba *Wataalamu wasema kisheria hapaswi kusimamisha kazi watendaji *Warejea tamko la trilioni 2, wataka amheshimu Rais Samia *Wamtahadharisha asitoe matamko ya kiserikali akiwa kanisani Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Makamu…

UNYANYASAJI WA URAIA…  Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu

NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa…

Mnyeti kama Sabaya

*Alalamikiwa Tume ya Haki za Binadamu *Adaiwa kujiundia tume kinyume cha sheria *Mwenyewe ajitetea kwa kumwaga matusi DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, analalamikiwa na mfanyabiashara, Dk. Hamis Kibola, katika Tume ya…

Kigoma kuna nini?

KIGOMA Na Mwandishi Wetu Kigoma kuna nini? Hii ni kaulimbiu yenye swali iliyotumika miaka ya 1980 wakati sherehe za Sabasaba zilipofanyika kitaifa mkoani Kigoma. Safari hii imejirudia lakini kwa aina tofauti na sasa ni mashabiki wa Yanga ndio wanaojiuliza Kigoma…