JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chanjo ya corona yaitikisa Afrika

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mataifa mbalimbali duniani yamo kwenye vita kali dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaotokana na virusi vya corona tangu kugundulika kwa ugonjwa huo wa homa kali ya mapafu katika Jiji la Wuhan, China, Desemba…

Zabikha lawamani ada darasa la saba 

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Baadhi ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba katika shule binafsi kadhaa wamelalamika kulipishwa ada kinyume cha mapatano. Wazazi wanalalamika kutozwa ada kubwa huku wakilazimishwa kumaliza malipo sawa na ya mwaka mzima kwa…


Shamte, Jussa jicho kwa jicho

ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Mwanasiasa mkongwe, Baraka Mohamed Shamte, amemtaka Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-  Wazalendo, Ismail Jussa Ladhu, kuacha kauli za upotoshaji. Moja kati ya kauli anazodai zimetamkwa na Jussa ni madai kwamba CCM haina dhamira njema katika Serikali ya Umoja…

Kuhifadhi misitu kuanze  kwa udhibiti bei ya gesi

Bei ya gesi asilia ambayo imegeuzwa kuwa kimiminika (LNG) inayotumika kwa wingi mijini kwa ajili ya kupikia, imepanda katika siku za karibuni. Kupanda kwa bei ya gesi hii kunakuja wakati Watanzania wakisubiri mustakabali wa malalamiko yao kuhusu kupanda kwa gharama…

RITA kuondolea adha uhakiki wa vyeti

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umewataka wanafunzi wanaohakiki vyeti vya kuzaliwa kwa ajili ya mikopo kuzingatia maelekezo ili iwe rahisi kupata huduma. Ofisa Habari wa RITA, Grace Kyasi, amelieleza JAMHURI kuwa kuna…

DC: Wastaafu msioe watoto, mtakufa 

ARUSHA Na Bryceson Mathias Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Sophia Mjema, amewaasa wastaafu kutotumia mafao watakayopata kuoa watoto wadogo au kuolewa na vijana, akisema watawasababishia kufa kwa kihoro. Sophia ameyasema hayo wakati akifungua semina ya elimu kwa wastaafu watarajiwa zaidi…