JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Uamsho na majeraha ya sheria ya ugaidi

ZANZIBAR Na Masoud Msellem Karibu miezi miwili imepita sasa tangu kuachiwa huru kwa waliokuwa mahabusu; masheikh wa Jumuiya ya Uamsho Tanzania. Hawa waliswekwa kizuizini kwa zaidi ya miaka saba wakituhumiwa kutenda vitendo vya kigaidi kati ya Januari 2013 na Juni…

Hata kama hauna cheti cha ndoa unaweza kufumania

Na BashirYakub Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, kwamba mtu asiyekuwa na cheti cha ndoa hawezi kufumania, si sahihi.   Usahihi ni kwamba mtu yeyote mwenye ndoa halali anaweza kufumania! Na hiyo inayoitwa ndoa halali…

Yah: Wazazi wahuni tukizeeka itakuwaje?

Nimepata barua na arafa nyingi kutoka kwa wasomaji wa uga huu kuhusu madhara ya kufuga uhuni wa ujanani mpaka kuutumia uzeeni.  Kimsingi si kweli kwamba nilikuwa ninataka watu ambao ni vijana wa leo waje wautumie ujana wao uzeeni, hapana, bali…

Ndimi mbili ni hatari

Binadamu ni kiumbe mwenye maumbile na sifa tofauti na wanyama wengine. Ana hulka inayomwongoza kujifunza kutoka kwa jamaa yake au jamii yake. Ana dhamiri inayomwezesha kutofautisha kati ya mambo yanayostahili kutendwa au kutotendwa katika jamii anamoishi. Aidha, binadamu ana nafsi,…

Hafla ya Rais azungumze Rais

Mzee Ali Hassan Mwinyi amepata kusema kila kitabu na zama zake. Kuanzia uongozi wa Awamu ya Kwanza hadi sasa Awamu ya Sita, yapo mambo yanabadilika kulingana na kiongozi aliye madarakani. Haiwezekani staili ya kiongozi mmoja ikafanana au ikatofautiana kwa asilimia…

Upinzani si mtu wala si watu

Na Pawa Lufunga Utawala bora unaoheshimu haki, uhuru wa wote, haki sawa na furaha kwa wote hutokana na siasa safi inayosimamiwa na jamii chini ya mifumo safi ya kisheria kupitia katiba iliyoandaliwa kwa ushiriki wa jamii. Ni wazi kuwa kila…