JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

HAKAINDE HICHILEMA (HH)  Rais mpya wa Zambia aliyeshindwa mara tano 

LUSAKA, ZAMBIA Na Kennedy Gondwe, BBC Baada ya kushindwa mara tano mfululizo katika Uchaguzi Mkuu wa Zambia, hatimaye bahati imemuangukia Hakainde Hichilema, na sasa amefanikiwa kuwa Rais wa taifa hilo.  Hichilema amemwangusha mpinzani wake mkuu, aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar…

Polisi msibweteke kupungua kwa ajali

Katika toleo hili tumechapisha makala ikimnukuu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Wilbroad Mutafungwa, akizungumzia masuala ya ajali. Kwa mujibu wa Kamishina huyo wa Jeshi la Polisi, takwimu zilizopo ndani ya miaka 10…

Uislamu unahimiza kufanya kazi, unapinga ukupe

Anuani ya makala yetu leo inatudai fasili ya maneno mawili ya Kiswahili: Kazi na Ukupe. Kazi kwa fasili inayozingatia sheria ni “shughuli yoyote halali inayompatia mtu kipato au masilahi fulani halali yaliyokubaliwa,” wakati kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu…

Kimewaka CCM

*Mtandao wa ‘mwendazake’ watajwa kumchimba Rais Samia kuelekea 2025 *Ulikusanya mamilioni wakati wa uchaguzi kutoka kwa wagombea ubunge, udiwani *Mfanyabiashara tajiri Kanda ya Ziwa atajwa kushikilia fuko la fedha zilizokusanywa *Mamluki waliounga mkono kushughulikiwa, watajwa kubadilika kulinda masilahi NA MWANDISHI…

Waziri Kalemani atumia kivuli cha ‘maagizo kutoka juu’

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nishati, Medard Kalemani, ametajwa kutumia lugha ya kwamba kuna “maagizo kutoka juu” mara nyingi anapowapa maelekezo watendaji wa wizara yake kuhakikisha mambo yanapitishwa haraka, JAMHURI limeambiwa. JAMHURI limeelezwa kuwa kama si Katibu Mkuu wa Wizara…

Mbowe, chanjo na hujuma CCM

Na Deodatus Balile Mpendwa msomaji salamu. Sitanii, tangu nimepata pigo la kuondokewa na Mkurugenzi mwenzetu, Mkinga Mkinga, Juni 24, 2021, sijaandika katika safu hii.  Itanichukua muda kuamini kuwa kweli Mkinga amefariki dunia, ila nalazimika kuukubali ukweli kwamba sisi tu waja…