JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mahabusu: Mahakama zinatutesa

Mahabusu nchini wamelaumu taarifa iliyotolewa hivi karibuni isemayo mashauri yaliyokuwa yamerundikana mahakamani yamemalizika kwa asilimia 98. Katika barua waliyoandika kwa Waziri wa Sheria na Katiba na nakala kwenda kwa Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mtendaji Mkuu wa Mahakama…

Mbunge aandaa jimbo lake kujitenga

MWANZA Na Antony Sollo Mbunge wa Jimbo la Sengerama mkoani hapa, Khamis Tabasamu, anawaunganisha wananchi, husasan wakulima wa pamba wa jimbo hilo kujiondoa kutoka Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza (NCU). Hali hiyo inakuja kama maono ya Tabasama kuwa hiyo…

Kila mwananchi awe askari wa taifa letu

DODOMA Na Javius Byarushengo Ule usemi usemao ya kale ni dhahabu si wa kupuuza hata kidogo. Ulikuwa na maana, unaendelea kuwa na maana na utaendelea kuwa na maana. Katika miaka ya nyuma, hususan katika Awamu ya Kwanza ya uongozi wa…

ANNA MWAOLE… Miaka 56 bado anapiga muziki

TABORA Na Moshy Kiyungi Miaka 50 ni utu uzima na kuna watu wanapofikisha umri huo huchoka. Lakini hali hiyo haipo kwa Anna Mwaole, mkongwe wa muziki mwenye umri wa miaka 56 sasa. Ni mwanamuziki aliyepita katika bendi na vikundi mbalimbali,…

Kumbukeni hata Mwalimu Nyerere alikuwa mpinzani

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inatambua uhalali wa vyama vingi vya siasa. Inasema, Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaa, yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa.  Kumekuwapo matukio ya Jeshi…


Dk. Mwinyi aleta mapinduzi katika uwekezaji

ZANZIBAR Na Rajab Mkasaba Tangu kuanza kazi kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ya Awamu ya Nane Novemba 2020 hadi Julai 2021, Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imefanikiwa kukusanya miradi 50 yenye jumla ya mitaji ya dola za Marekani…