Category: MCHANGANYIKO
HESLB wabadilishana hati ya makubaliano na TRA
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia,Dar es salaam BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato TRA imeingia makubaliano ya kubadilishana hati ya ushirikiano kwa ajili ya kurahisisha ukusanyaji madeni kwa wanufaika wenye kipato ambao…
Waziri Bashe akutana na Mpina uso kwa uso, amshauri kuacha siasa zao la pamba
Na Mwandishi wetu, JajhuriMedia, Simiyu Waziri wa Kilimo Husein Bashe (mb) amewasili katika Jimbo la Kisesa na kukutana ana kwa ana na mbunge wa Jimbo hilo Luhaga Mpina. Waziri Bashe amemshauri Mpina kuacha kufanya siasa katika zao la pamba kwani…
CCM walaani kampeni ya ‘ Samia Must Go’
Na Isri Mohamed KATIBU mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amezungumza na wanahabari leo kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii yanayoendelea nchini, hususani matukio ya utekaji na mauaji yaliyotokea yakiwemo ya aliyekuwa mjumbe wa sekretarieti…
Tume Huru ya Uchaguzi yatoa ruksa kwa wafungwa kupiga kura
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma TUME huru ya Taifa ya Uchaguzi nchini imetoa mwongozo wa maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapigaji kura huku ikitoa nafasi kwa wafungwa na mahabusu kuandikishwa kuwa wapiga kura . Hayo yameelezwa leo September 13,2024…
TBB kufanya ones home la S!TE Oktoba 11, 2024 Dar es Salaam
Na Richard Mrusha, JamhuriMedia, Arusha Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) inatarajia kufanya onesho la nane lijulikanalo kama Swahili International Tourism Expo( S!TE)litakalofanyika Oktoba 11 Hadi 13 ,2024 Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo imetolewa…
Polisi wapiga ‘stop’ maandamano ya CHADEMA
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanywa na chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Septemba 23, 2024 jijini Dar es Salaam. Taarifa ya marufuku hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi,…