JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Amuua mama, atoweka na mtoto

SHINYANGA Na Antony Sollo Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Rahim Mwita mkazi wa Sarawe mkoani hapa, anadaiwa kumuua mkewe, Monica Lucas, kisha kutokomea kusikojulikana na mtoto wa mama huyo ajulikanaye kwa jina la Prince. Ndugu wa mama huyo, Mabula…

Kilichowaponza mawaziri

*Baadhi waliacha kazi wakawaza urais 2025, Kalemani bei ya mafuta yamponza *Rais Samia aanza kufumua mtandao masilahi, apanga watumishi wa wananchi  *Shibuda: Rais amepata gari la tani 100, magari ya tani tano yampishe *ACT Wazalendo: ‘Rais Samia Suluhu amechelewa kufanya…

PENTAGON Wizara ya Ulinzi Marekani iliyopitia  misukosuko mbalimbali ya kigaidi

• Ni jengo lenye ofisi nyingi kuliko lolote duniani • Limeenea kwenye eneo la hekta 29 • Hutoa huduma za simu zipatazo maili 100,000 • Posta za jengo hilo hupokea barua zaidi ya 100,000 kila siku  • Ni jengo lenye…

DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

Na Deodatus Balile Imenichukua muda kuandika makala hii. Ninafahamu kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, anashitakiwa kwa tuhuma za kufadhili ugaidi kwa Sh 600,000. Anashitakiwa pia kwa tuhuma za kupanga njama za kulipua vituo vya…

Wataliban wapandisha bendera ya utawala 

KABUL, AFGHANISTAN Wanamgambo wa Taliban wamepandisha bendera nyeupe kwenye jengo la rais kuashiria mwanzo wa utawala wao katika taifa la Afghanistan. Hatua hiyo imefikiwa baada ya operesheni ya kuleta amani iliyoanzishwa na Marekani ndani ya taifa hilo kukoma. Ripoti za…

MK Group na ngoma za maghorofani

*Ilikommbolewa na Miraji Shakashia akiwa shule ya msingi  TABORA Na Moshy Kiyungi Kuna wanaodai kuwa muziki wa dansi umekufa kwa kulinganisha na ilivyokuwa miaka ya 1960 na 1990. Wakati huo karibu kila mji ilikuwapo bendi ikitoa burudani kwa wakazi wa…