JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pazia urais 2025 lafungwa

*Ameamua kuvunja kikombe, wenye nia na urais wasubiri hadi 2030 *Queen Sendiga: Wanawake tukikosea 2025 tutasubiri kwa miaka 100 *Dorothy Semu ataka kwanza awajengee wanawake uwezo kiuongozi DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ndoto za kugombea urais mwaka 2025…

Polisi walikoroga

NA MWANDISHI WETU SHINYANGA Shinikizo linawekwa kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga kumchukulia hatua za kisheria mwalimu anayetuhumiwa kumuua mkewe ambaye pia ni mwalimu, kisha ‘kuigiza’ kuwa amejinyonga. Katika kibali cha mazishi, inathibitishwa kuwa chanzo cha kifo…

Wananchi, madaktari Mtwara wafurahia huduma za madaktari bingwa wa MOI

MTWARA NA AZIZA NANGWA Wananchi mkoani Mtwara wamesema kutokana na wimbi kubwa la ajali za barabarani hasa zinazotokana na pikipiki na magari, wanaona kuna umuhimu wa kuwa na huduma za madaktari bingwa wa mifupa kwenye maeneo ya vijijini, JAMHURI limeambiwa….

Rais Mwinyi: Tunadhibiti wizi wa fedha za umma

UNGUJA Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema hatua za serikali zinazochukuliwa dhidi ya wizi wa fedha za umma ni juhudi za makusudi katika kuhakikisha zinapokusanywa zinawafaidisha walio wengi badala…

Bouteflika afariki dunia

ALGIERS, ALGERIA Rais wa zamani wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84 baada ya kuugua kwa muda mrefu. Bouteflika ameliongoza taifa hilo la kaskazini mwa Afrika kwa takriban miongo miwili, akaachia ngazi mwaka 2019 baada…

Machozi… Albamu iliyompaisha Lady Jaydee

TABORA Na Moshy Kiyungi Judith Wambura, maarufu kama Lady Jaydee, Jide, Komandoo au Binti Machozi ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa kike nchini. Msanii huyu ana kipaji na uwezo mkubwa wa kutunga na kuimba nyimbo zenye ujumbe mzito kwa jamii…